Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kwa
Kwamba hela za pulisizon mlituchangia utopoloWewe ndio utumie ilo fuvulako vizuri, Kama hujui ata fedha ya Kambi ilipo toka Mimi siwezi kukusaidia. Walio karibu na Uongozi wanajua Nini kimefanyika Mimi siandiki Ili kuwa vunja moyo mashabiki wasio fahamu Nini kimefanyi Ili timu iweke Kambi Misri.
Inatosha jamii kufahamu timu Ipo pre sison Mengineyo hayama tija.