La Wydad Simba day halitawezekana, leteni wengine wakali ndani ya top 20 za CAF

La Wydad Simba day halitawezekana, leteni wengine wakali ndani ya top 20 za CAF

Kwa
Wewe ndio utumie ilo fuvulako vizuri, Kama hujui ata fedha ya Kambi ilipo toka Mimi siwezi kukusaidia. Walio karibu na Uongozi wanajua Nini kimefanyika Mimi siandiki Ili kuwa vunja moyo mashabiki wasio fahamu Nini kimefanyi Ili timu iweke Kambi Misri.
Inatosha jamii kufahamu timu Ipo pre sison Mengineyo hayama tija.
Kwamba hela za pulisizon mlituchangia utopolo
 
Mkuu umekuwaje tena wajameni? Kwenye uzi wa Red arrows kuja yanga day ulisema ukubwa team siyo issue hata Mtibwa wanafaa hapa tena unaikandia Mazembe mimi nazungumzia teams zilizoko top 20 afrika Mazembe ni y a7 bado ni ndogo hiyo juzi tu ilikuwa nusu fainali Afrika
Ok tunajua wenye akili ni wawili tu huko utopolo
 
Back
Top Bottom