Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Yani huyo dingi ni noma kinachofuata ni wewe n mkeo kugegedwa ,shubamiiit story za kitoto usilete hapa
Watu wenye stress za maisha utawajuwa tu. Mkuu ungefunua tu biblia kuna mambo ya kikubwa usipoteze muda kusoma mambo ya kitoto. Au we ni miongoni mwa watu waliokuwa wakituibia mchanga wa dhahabu? Hovyo sana
 
Watu wenye stress za maisha utawajuwa tu. Mkuu ungefunua tu biblia kuna mambo ya kikubwa usipoteze muda kusoma mambo ya kitoto. Au we ni miongoni mwa watu waliokuwa wakituibia mchanga wa dhahabu? Hovyo sana
Peleka hizo stress kwa mama mkwe
 
Rudia hesabu zako watakua early 20
No mkuu jamaa yuko sahihi mi mwenyewe wazaz wapo early 40s mi niko mid 20 [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwenye jamii za makabila ya kutanzania inawezekana
 
Rudia hesabu zako watakua early 20
No mkuu jamaa yuko sahihi mi mwenyewe wazaz wapo early 40s mi niko mid 20 [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwenye jamii za makabila ya kutanzania inawezekana
 
Duh!! Wazazi wapo in early 40's, kama waliwazaa kwa kuwahi maana yake waliwazaa in early 20's, ikimaanisha wewe ma mkeo mpo kwenye late 10's. Kwa hapo mi naomba niishie hapohapo.

Naomba niendelee hapohapo kama wazazi 40s means wao 20s na kama wao ni 20s means hao wajukuu anaowataja anajaribu kutusimulia tu, na hiyo night shift ya mkewe maybe night study maana hata kama aliwahi vipi kusoma hawezi akawa tayari kamaliza elimu na kashajifungua watoto ngoja niishie hapo at age of 20s umeshamaliza elimu umepata watoto na umeisha jenga [emoji122]
 
Baba ba mkwe hiyo ndio sahihi kumwita.. [emoji111]️ kigugumizi kidogo wakati wa kumwita aah.
 
Sasa inakuhusu nini pengine ingekuwa mama yako ndio kapandwa na baba wa mkeo ningekueleewa

Hiyo wala isikufikirishe.....sana
 
Huyo ma mkwe wako bado ana mume? The principle is, 'Ukiona neno, usiposema neno, hutopatwa na neno'! Kwa hiyo wewe piga kimya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…