Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Hadithi yako ya kutunga umeharibu kwenye age tu ingeendana na ukweli
 
Kuna jamaa niliwahi kuwajua, nao ilikuwa hivyo kama yako ila ikiwa kinyume, yaani baba wa mke, alikuwa anamchukua mama wa mume, mpaka kwenye harusi ya vijana wao ilikuwa wazi na kila mtu alikuwa anaona. Ila ilikuwa ni nje ya Tz.
 
I hope mko ok humu. Mwenzenu akili yangu imevurugika baada ya masikio yangu kusikia kishichosikika. Kwa wakati huu niko kwenye jiji moja maarufu hapa tz. Mzee wangu yuko kwenye his early 40's na mamkwe pia yuko kwenye age hizo hizo. Sasa tuko na mzee wangu tangia mwezi wa nne, kuna maswala yake fulani anazifuatilia hapa town. Mamkwe wangu pia ana kama wiki tatu sasa, alikuja baada ya binti yake kuugua kidogo na kuwaona wajukuu zake. Kwangu tumeshajenga nyumba yenye vyumba vingi tu vya kutosha , kwa hiyo mzee wangu analala kwenye chumba chake, mamkwe pia pamoja na housegirl naye analala kivyake. Sasa juzi baada ya taifa stars kuniharibia siku, nkaenda zangu kulala huku hawa wazazi wetu pendwa wakiendelea kucheki muvi pamoja na mjakazi wetu. Sikubahatika kupata usingizi haraka ikanibidi nizame jf kidogo ili nipunguze stress kidogo. Sasa ilipofika mida ya saa sita hivi nkapata warning ya betery low na chaja mpaka sebuleni. Sasa kipindi naenda sebuleni kwenye korido ya chumba anacholala mamkwe nkasikia sauti ile ya mahaba kwa mbaali. Yaani walikuwa kwenye climax. Mama yangu!!!! Nilijiuliza maswali mengi huku nikiganda pale pale. Gafla nkasikia sauti ya mzee akikohoa kwa mbali. Daaaaaah!!! Niliishiwa nguvu ghafla hata chaja nkashindwa kwenda kuchukuwa nkarudi zangu chumbani. Mke wangu alikuwa na shift ya usiku kwa hiyo hakwepo kwa muda huo. Sijamwambia chochote ila hii swala inanitesa kweli kweli. Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu? Alafu kwa mamkwe???? Nimuitaje sasa mamkwe? mamdogo? Au mzee wangu ndo hivo tena amekuwa bamkwe? Jamani naombeni ushauri wenu akili yangu haufanyi kazi.
ULITAKA ULALE NA MAMA MKWE WAKO???
 
Hata mimi nikiipata nafasi ya kumtembelea kijana wangu nikakutana na mkwe wake tukawa watu wenye ukaribu lazima nimpime kama anaingilika,
Siwezi tumia gharama za kutafuta aliye mbali nitatafuna bila kutembea mbali,
Mzee wako nampongeza kwa maamuzi ya haraka na yenye uthubutu safi sana.
 
Nyie watu mnajua maana ya laana?

Laana ni kulala na mama yako hayo mengine ni f**ken story

Hahaha.. Mzee wako alizama chumvini hadi akapaliwa..
 
Baba yako ni mdogo sana. Ningekuwa ni mimi na hiyo age kisha umeoa basi ningehangaika na mkeo na bila shaka tungeshea hata watoto. Kwenye mambo ya sex huwa najivua vyeo vyote na kubaki na neno "uanaume" na kinachokuja mbele yangu kama kikinitamanisha basi nautendea uanaume wangu haki.

Hilo la kutembea na mamkwe mbona ni la kawaida sana?? Emb acha wivu bwana. Sasa ulitaka apige punyeto akiwa ndani kwako?
 
Laana kuita baba yako mhuni. Acha mara moja!!!
 
Nimeyaweka wazi hapo juu . 44 by 27
Hawatakuelewa sema hao wazazi wameshindwa kujizuia, wangeyafanya hayo nje ya nyumba yako. Wote hawafai

Muwezeshe Mzee arudi kwake na hata mamamkwe pia arudi kwake. Kumbuka mlamba asali halambi mara moja ni lazima wataendeleza .
 
RUDIA UPYA KUTUNGA KUNA SEHEMU UMEJICHANGANYA MZEE BABA
 
Back
Top Bottom