Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Mzee wako yupo on his early 40's. Inamaana hazidi 45. Wewe umeoa, umejenga na una watoto. Haya, tumekuelewa. Leta story nyingine.
 
Duh!! Wazazi wapo in early 40's, kama waliwazaa kwa kuwahi maana yake waliwazaa in early 20's, ikimaanisha wewe ma mkeo mpo kwenye late 10's. Kwa hapo mi naomba niishie hapohapo.
Na kujenga Nyumba yenye vyumba vya kutosha
 
Laana ni wewe mamamkwe wako ni Mzazi mwenzie shida nn.ulitaka umguse wewe ?
 
vitu vifuatavyo vinanipa walakini kuhusu stori yako;
1. baba mwenye early 40 kuwa na mtoto mwenye nyumba yenye vyumba vingi.
2. kwa umri huo uwe na mtoto zaidi ya mmoja!!!
3. umesema mkeo ni mgonjwa..ilikuaje tena akaenda shift ya night!!??
4. housegirl alilala wapi??..maana ulisema ndo huwa analala na mama mkwe
 
Pumba.vu kabisa peleka story zako za kutunga fb, hata kama unatunga uwe mwangalifu siyo kuharibiana mood kirahisi hivi, so baba yako kitombi alikuzaa akiwa na miaka mingapi? Shwaini wew, c.c watukere na wewe tena!!
 
Baba yuko early 40, wewe una umri gani? Vijana wa Facebook bana...
 
Nashukuru kwa tusi .kumbuka kuna njia nyingi sana za kupata mali. Kijitafutia kwa nguvu, bahati na sibu, kurithi, kwa njia ya uwizi na utapeli na mengine mengi. Naona wewe umekariri njia moja tu ya kutafuta mwenyewe kwa nguvu na akili. Pole sana
Wapo watu kibao wanamiaka 25 hapa mjini wameishia form 4 ...lakini unakuta mtu ananyumba nzuri gari yakutembelea nzuri nabiashara zakueleweka... Watu wengine wamekariri mpaka uwe na mastaz uajiriwe ndo uanze kujenga.
 
Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu.
Nimecheka sana. Shukuru Mungu mzee anapumzika kwa mama mkwe. Imagine angehamishia tricks zake kwa mkeo ingekuwaje?

Harafu kuhusu umri I believe umechapia kidogo. Atakuwa in his early 50s. Siamini kama mzee wako kazaliwa around 1976.
 
Back
Top Bottom