Laana inavyovuruga watu bila kujua imetoka madhabahu gani!

Laana inavyovuruga watu bila kujua imetoka madhabahu gani!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kuna maandiko yanasema: Basi njoo unilaanie watu hawa; maana wana nguvu kunishinda mimi. Labda nitaweza tupate kuwapiga, niwafukuze watoke katika nchi yangu, kwa maana najua ya kuwa yeye umbarikiye hubarikiwa na yeye umlaaniye hulaaniwa.

1.Laana ni sehemu ya kuua nguvu na laana hutoka kwenye kinywa cha mtu aliyeandaliwa na madhabahu, laana humfanya mtu apigwe, laana humfanya mtu afukuzwe, miungu ikitaka kumvuruga mtu inatumia laana kwanza.

2.Laana ni silaha ambayo inatumiwa na adui maeneo mengi bila watu kuwa makini.

Laana imekuwa silaha ya kuangamiza maono ya wengi bila wao kujua wanapigana na nini kumbe ni silaha ya laana toka vinywa vya watu kupitia miungu yao.

3.Hili jambo limekuwa likitumika na baadhi ya watu wanaoitwa watumishi wa Mungu pale wanapoona kuna mtu haendani nao au kukinzana nao ...wamekuwa wanatumia laana kama vitisho au silaha ya maangamizi kwa baadhi ya watu.

Hii ni dalili ya kwamba baadhi yao vinywa vya watumishi vinatumiwa na miungu kulaani!!. Maana neno linasema waombeeni wanaowaudhi. Pia samehe upishe ili upishe adhabu ya Mungu.

4.Ni mara nyingi utasikia watu baadhi tena ni watumishi wakisema fulani biashara yake imekufa ,ndoa yake imevurugika, mtoto wake amefeli, au amefukuzwa kazi au huduma imekufa au maisha yameenda mrama "sisi ndio tulimlaani au tuliomba"(utagundua huu ni uchawi toka kwa miungu) Ukichunguza watu hawa utagundua si wepesi kuonyesha shuhuda za mema waliyoomba.

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekutana na baadhi ya watu wana matatizo na misongo ya mawazo na hawafanikiwi, ukishauriana nao unagundua wamelaaniwa na watumishi na kutishiwa vifo na kutokufanikiwa. Je ni Mungu yupi anayetaka tulaani badala ya kubariki!!? utagundua ni miungu inatumia vinywa vya baadhi ya watumishi bandia

Nafasi za utumishi tumepewa bure ni vyema tukazitumia kujenga na pia kujikomboa maeneo ambayo midomo yetu haijakombolewa

Mzazi anajilinda asimlaani mtoto wake halafu anashangaa haeleweki kumbe ameshalaaniwa na baadhi ya watumishi, hili ni jambo la kuomba rehema na kufuatilia pia ibada ambazo zinaweza kuleta madhara hata kwa vijana na mabinti na watu wengine.

Mungu aturehemu na afute kila laana na inayotamkwa ili kuua maono au nguvu. Ndoto na Nuru
Ndimi Mjoli wenu

Jr.
The Fondation Cartier's 'Vaudou' Exhibition Casts_.jpeg
 
Kuna mtu aliwahi kufanya jamabo lisilo sahihi kwa wazazi wake, nikamwambia UTALAANIWA. Yeye alinijibu LAANA ni sehemu ya VISINGIZIO kwa walioshindwa maisha. Akimaanisha hakuna kitu kinaitwa laana. Lakini naona andiko la laana.
Nitaendelea kujifunza hapa.
 
Kuna maandiko yanasema: Basi njoo unilaanie watu hawa; maana wana nguvu kunishinda mimi. Labda nitaweza tupate kuwapiga, niwafukuze watoke katika nchi yangu, kwa maana najua ya kuwa yeye umbarikiye hubarikiwa na yeye umlaaniye hulaaniwa.

1.Laana ni sehemu ya kuua nguvu na laana hutoka kwenye kinywa cha mtu aliyeandaliwa na madhabahu, laana humfanya mtu apigwe, laana humfanya mtu afukuzwe, miungu ikitaka kumvuruga mtu inatumia laana kwanza.

2.Laana ni silaha ambayo inatumiwa na adui maeneo mengi bila watu kuwa makini.

Laana imekuwa silaha ya kuangamiza maono ya wengi bila wao kujua wanapigana na nini kumbe ni silaha ya laana toka vinywa vya watu kupitia miungu yao.

3.Hili jambo limekuwa likitumika na baadhi ya watu wanaoitwa watumishi wa Mungu pale wanapoona kuna mtu haendani nao au kukinzana nao ...wamekuwa wanatumia laana kama vitisho au silaha ya maangamizi kwa baadhi ya watu.

Hii ni dalili ya kwamba baadhi yao vinywa vya watumishi vinatumiwa na miungu kulaani!!. Maana neno linasema waombeeni wanaowaudhi. Pia samehe upishe ili upishe adhabu ya Mungu.

4.Ni mara nyingi utasikia watu baadhi tena ni watumishi wakisema fulani biashara yake imekufa ,ndoa yake imevurugika, mtoto wake amefeli, au amefukuzwa kazi au huduma imekufa au maisha yameenda mrama "sisi ndio tulimlaani au tuliomba"(utagundua huu ni uchawi toka kwa miungu) Ukichunguza watu hawa utagundua si wepesi kuonyesha shuhuda za mema waliyoomba.

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekutana na baadhi ya watu wana matatizo na misongo ya mawazo na hawafanikiwi, ukishauriana nao unagundua wamelaaniwa na watumishi na kutishiwa vifo na kutokufanikiwa. Je ni Mungu yupi anayetaka tulaani badala ya kubariki!!? utagundua ni miungu inatumia vinywa vya baadhi ya watumishi bandia

Nafasi za utumishi tumepewa bure ni vyema tukazitumia kujenga na pia kujikomboa maeneo ambayo midomo yetu haijakombolewa

Mzazi anajilinda asimlaani mtoto wake halafu anashangaa haeleweki kumbe ameshalaaniwa na baadhi ya watumishi, hili ni jambo la kuomba rehema na kufuatilia pia ibada ambazo zinaweza kuleta madhara hata kwa vijana na mabinti na watu wengine.

Mungu aturehemu na afute kila laana na inayotamkwa ili kuua maono au nguvu. Ndoto na Nuru
Ndimi Mjoli wenu

Jr.View attachment 3129312
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..

Huruma, Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na kila moja wetu ili kujiepusha na kiburi, ukaidi na kuchuma laana kwa kutumia ndimi zetu wenyewe. Aimen 🙏
 
Kuna mtu aliwahi kufanya jamabo lisilo sahihi kwa wazazi wake, nikamwambia UTALAANIWA. Yeye alinijibu LAANA ni sehemu ya VISINGIZIO kwa walioshindwa maisha. Akimaanisha hakuna kitu kinaitwa laana. Lakini naona andiko la laana.
Nitaendelea kujifunza hapa.
 
Kuna mtu aliwahi kufanya jamabo lisilo sahihi kwa wazazi wake, nikamwambia UTALAANIWA. Yeye alinijibu LAANA ni sehemu ya VISINGIZIO kwa walioshindwa maisha. Akimaanisha hakuna kitu kinaitwa laana. Lakini naona andiko la laana.
Nitaendelea kujifunza hapa.
Thread 'Laana-je mwili unaweza kujidhuru?' Laana-je mwili unaweza kujidhuru?
 
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..

Huruma, Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na kila moja wetu ili kujiepusha na kiburi, ukaidi na kuchuma laana kwa kutumia ndimi zetu wenyewe. Aimen 🙏
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..😀😀😀
Sio kila mamlaka inatoka kwa Mungu
Satanic altar.jpeg
 
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..😀😀😀
Sio kila mamlaka inatoka kwa MunguView attachment 3129333
Mkuu umeongea kwa hisia sana japo naona umenukuu kifungu kutoka kwenye biblia na kukitafsiri vibaya alafu kwa muujibu wa hizi picha zako ni wazi unachanganya uchawi na laana, au kurogwa na laana, kiufupi sijui upo upande gani yani umeeleza vitu tofauti ambavyo hauna uwelewa navyo vizuri hebu tafuta kwanza elimu zaidi uelewe vitu hivyo naona hauko sawa
 
Kuna maandiko yanasema: Basi njoo unilaanie watu hawa; maana wana nguvu kunishinda mimi. Labda nitaweza tupate kuwapiga, niwafukuze watoke katika nchi yangu, kwa maana najua ya kuwa yeye umbarikiye hubarikiwa na yeye umlaaniye hulaaniwa.

1.Laana ni sehemu ya kuua nguvu na laana hutoka kwenye kinywa cha mtu aliyeandaliwa na madhabahu, laana humfanya mtu apigwe, laana humfanya mtu afukuzwe, miungu ikitaka kumvuruga mtu inatumia laana kwanza.

2.Laana ni silaha ambayo inatumiwa na adui maeneo mengi bila watu kuwa makini.

Laana imekuwa silaha ya kuangamiza maono ya wengi bila wao kujua wanapigana na nini kumbe ni silaha ya laana toka vinywa vya watu kupitia miungu yao.

3.Hili jambo limekuwa likitumika na baadhi ya watu wanaoitwa watumishi wa Mungu pale wanapoona kuna mtu haendani nao au kukinzana nao ...wamekuwa wanatumia laana kama vitisho au silaha ya maangamizi kwa baadhi ya watu.

Hii ni dalili ya kwamba baadhi yao vinywa vya watumishi vinatumiwa na miungu kulaani!!. Maana neno linasema waombeeni wanaowaudhi. Pia samehe upishe ili upishe adhabu ya Mungu.

4.Ni mara nyingi utasikia watu baadhi tena ni watumishi wakisema fulani biashara yake imekufa ,ndoa yake imevurugika, mtoto wake amefeli, au amefukuzwa kazi au huduma imekufa au maisha yameenda mrama "sisi ndio tulimlaani au tuliomba"(utagundua huu ni uchawi toka kwa miungu) Ukichunguza watu hawa utagundua si wepesi kuonyesha shuhuda za mema waliyoomba.

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekutana na baadhi ya watu wana matatizo na misongo ya mawazo na hawafanikiwi, ukishauriana nao unagundua wamelaaniwa na watumishi na kutishiwa vifo na kutokufanikiwa. Je ni Mungu yupi anayetaka tulaani badala ya kubariki!!? utagundua ni miungu inatumia vinywa vya baadhi ya watumishi bandia

Nafasi za utumishi tumepewa bure ni vyema tukazitumia kujenga na pia kujikomboa maeneo ambayo midomo yetu haijakombolewa

Mzazi anajilinda asimlaani mtoto wake halafu anashangaa haeleweki kumbe ameshalaaniwa na baadhi ya watumishi, hili ni jambo la kuomba rehema na kufuatilia pia ibada ambazo zinaweza kuleta madhara hata kwa vijana na mabinti na watu wengine.

Mungu aturehemu na afute kila laana na inayotamkwa ili kuua maono au nguvu. Ndoto na Nuru
Ndimi Mjoli wenu

Jr.View attachment 3129312
Laana hiyo vipi inaacha mabeberu wanatuvuna tu?
 
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..😀😀😀
Sio kila mamlaka inatoka kwa MunguView attachment 3129333
"Siyo Kila mamlaka inatoka kwa Mungu."

Kwenye hii picha Nimeona nyeti za mwanaume. Anatumia kujichua/kupigia nyeto?
 
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..😀😀😀
Sio kila mamlaka inatoka kwa MunguView attachment 3129333
Ndivyo mtazamo wa wasio tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu ulivyo maeneo mengi ulimwenguni..

Tujitahidi kuwasikiliza na kuwatii wazazi na walezi wetu, manung'uniko na laumu zao dhidi yetu kwamba tunawapuuza na kutokuwajali, ni chanzo cha kuchuma laana bila kujua.. unaona tu mambo yako hayaendi na muda unakutupa mkono...

Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
 
Mjomba mada imekamilika maana umeweka na silaha za jadi juu
Kombora hizo ni balaa zinatisha
 
kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..
Kwa mfano serikali yetu imewekwa madarakani na wananchi gani ili ipate sifa ya kuwa ipo kwa ridhaa ya Mungu kupitia sauti ya wengi? na vipi wale wanaodhulumu sauti ya wengi laana haiwahusu? vipi hizo serikali zikisha kuwa kwenye madaraka kipaombele chao cha mwisho ndio wananchi laana haiwahusu?
 
Kwenye hii picha Nimeona nyeto za mwanaume. Anatumia kujichua/kupigia nyeto?
ni vile watu hawajui na wanachukulia poa masuala ya kujichua na punyeto.
Wasichofaham ni kwamba yale ninmasuala ya kiroho kabisaaaa na ilpact yale kwenye maishabya mtu ni very significant.

Kuna ibada za keshetan ambazo ibada huambatana na kufanya ngono na mapepo (wanawake au wanaume waliokuwa possesed with demons) na ngono hii inafanyika madhabahuni.

HAyo ma dildo na matakataka mengine, ni moja kat ya "idols" au sanamu zilizokua zinaabudiwa na watu katika ancient Babylon way back.
 
Back
Top Bottom