Laana inavyovuruga watu bila kujua imetoka madhabahu gani!

Laana inavyovuruga watu bila kujua imetoka madhabahu gani!

Za watu kutekwa na kuuwawa nazo mamlaka hizo zinatoka kwa Mungu!?
kutafuta uenyekiti kwa chama kwa ramli, kutoana kafara na kuchukuana misukule kisha kusingizia vitu vingine ni laana kubwa zaid ina ambatanaga na usaliti 🐒
 
Ndivyo mtazamo wa wasio tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu ulivyo maeneo mengi ulimwenguni..

Tujitahidi kuwasikiliza na kuwatii wazazi na walezi wetu, manung'uniko na laumu zao dhidi yetu kwamba tunawapuuza na kutokuwajali, ni chanzo cha kuchuma laana bila kujua.. unaona tu mambo yako hayaendi na muda unakutupa mkono...

Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
Hizi ndio madhabahu zinazotawala dunia kwasasa na zina mtandao mkubwa na nguvu nyingi zimejipenyeza mpaka kwenye hizi dini zetu zote
 
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekutana na baadhi ya watu wana matatizo na misongo ya mawazo na hawafanikiwi, ukishauriana nao unagundua wamelaaniwa na watumishi na kutishiwa vifo na kutokufanikiwa. Je ni Mungu yupi anayetaka tulaani badala ya kubariki!!? utagundua ni miungu inatumia vinywa vya baadhi ya watumishi bandia
Watumishi wa sasa wanatia mashaka. Wana miungu yao wanajificha kwenye koti la dini. Inaumiza sana.
 
Naona unataka kusema kutowatii sisiem ni laana siyo ?
ukiambiwa kugombea uenyekiti chadema Taifa ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, ni muhimu sana kutii hili, otherwise kitakachokupata ni laana ya kiwango cha kutisha wengine na wakati huo ukiwa umeR.I.P🐒
 
Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
Hizi ndio madhabahu zinazotawala dunia kwasasa na zina mtandao mkubwa na nguvu nyingi zimejipenyeza mpaka kwenye hizi dini zetu zote
Nimemuona popobawa hapo na kidoldo cheupe yaan huyo mama akimuita Shetani akifika anatumia na doldo kujimaliza hapo masabauni
 
Mdharau Asili hufa kikatili👈
Asili kwanza👈
c41beab8-877d-4b99-83dd-dcca65674177.jpeg
 
Back
Top Bottom