Karungi baby girl
JF-Expert Member
- Oct 10, 2023
- 301
- 380
Mimi na mume wangu na watoto wangu tumekombolewa kwa damu ya Yesu kristo aliye hai kwangu hakuna laanaBWANA YESU ASIFIWE ASANTE KWA SOMO ZURI ASUBUHI HII... LAKINI KWA DAMU YA YESU NA JINA LAKE TUNAISHINDA LAANA
Hicho kinaitwa kilinge nuksi hapo yamezunguka majini na mizimu yenye nguvu kiasi cha kujua kila anaeingia kilingeni ana shida gan na anatoka wapi, tawile
Ameeena na mumeo ndio Mimi hapa au una mume mwingine?Mimi na mume wangu na watoto wangu tumekombolewa kwa damu ya Yesu kristo aliye hai kwangu hakuna laana
Nini ya bandia za umeiona?Naona hadi mboro ya bandia hapo
kutafuta uenyekiti kwa chama kwa ramli, kutoana kafara na kuchukuana misukule kisha kusingizia vitu vingine ni laana kubwa zaid ina ambatanaga na usaliti 🐒Za watu kutekwa na kuuwawa nazo mamlaka hizo zinatoka kwa Mungu!?
Kilinge nuksi hiki mpaka popobawa na dildo ipo kilingeni?kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..😀😀😀
Sio kila mamlaka inatoka kwa MunguView attachment 3129333
Naona unataka kusema kutowatii sisiem ni laana siyo ?kutokutii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu kupitia sauti ya wengi ni laana ambayo inawatafuna watu wengi bila kujua..
Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒Ndivyo mtazamo wa wasio tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu ulivyo maeneo mengi ulimwenguni..
Tujitahidi kuwasikiliza na kuwatii wazazi na walezi wetu, manung'uniko na laumu zao dhidi yetu kwamba tunawapuuza na kutokuwajali, ni chanzo cha kuchuma laana bila kujua.. unaona tu mambo yako hayaendi na muda unakutupa mkono...
Na mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
Watumishi wa sasa wanatia mashaka. Wana miungu yao wanajificha kwenye koti la dini. Inaumiza sana.Kwa miaka ya hivi karibuni nimekutana na baadhi ya watu wana matatizo na misongo ya mawazo na hawafanikiwi, ukishauriana nao unagundua wamelaaniwa na watumishi na kutishiwa vifo na kutokufanikiwa. Je ni Mungu yupi anayetaka tulaani badala ya kubariki!!? utagundua ni miungu inatumia vinywa vya baadhi ya watumishi bandia
ukiambiwa kugombea uenyekiti chadema Taifa ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, ni muhimu sana kutii hili, otherwise kitakachokupata ni laana ya kiwango cha kutisha wengine na wakati huo ukiwa umeR.I.P🐒Naona unataka kusema kutowatii sisiem ni laana siyo ?
Nimemuona popobawa hapo na kidoldo cheupe yaan huyo mama akimuita Shetani akifika anatumia na doldo kujimaliza hapo masabauniNa mbona unaniwekea madhabahu za kishetani gentleman?🐒
Hizi ndio madhabahu zinazotawala dunia kwasasa na zina mtandao mkubwa na nguvu nyingi zimejipenyeza mpaka kwenye hizi dini zetu zote
Watomishi gani hao?Watumishi wa sasa wanatia mashaka. Wana miungu yao wanajificha kwenye koti la dini. Inaumiza sana.
Bahati sio fuvo la mbouze
umebugi man mume wangu kutoka wapi mimi niye mume 1 ambaye mbingu zinamtambua sio wewe pleaseAmeeena na mumeo ndio Mimi hapa au una mume mwingine?
Bwana Yesu ndio mumeo?umebugi man mume wangu kutoka wapi mimi niye mume 1 ambaye mbingu zinamtambua sio wewe please
ndio Bwana Yesu ndio mume wanguBwana Yesu ndio mumeo?
Noma noma nomaaaandio Bwana Yesu ndio mume wangu