Laana inavyovuruga watu bila kujua imetoka madhabahu gani!

Nim
Hakika upande huu unakufaa kuliko ule mwingine 🀣🀣🀣
Ubarikiwe kwa somo zuri.
 
 
 
Mi sijaelewa Mkuu naomba ufafanuzi!
1. Miungu ni Nini? Chanzo chake ni Nini?
2. Je hao miungu wanaundugu wowote na Mungu au wanaugomvi wowote na Mungu
3. Je? Mtu wa kawaida anaweza akajitengeneza na kuwa mmoja wa Miungu
4. Chanzo Chao ni Nini na nguvu yao ni ipi, kwann Wana nguvu kuzidi ufaham wa kibinadm..
" Ni hayo tuu mkuu"
 
ukiambiwa kugombea uenyekiti chadema Taifa ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, ni muhimu sana kutii hili, otherwise kitakachokupata ni laana ya kiwango cha kutisha wengine na wakati huo ukiwa umeR.I.PπŸ’
Laana ya Mafwele na Tisiem sio ?
Endeleeni kuuwa I'la mjue watu Hawa kuwamiliki kimsukule hamtaweza kamwe.
 
Nipe muda niweze kukujibu kwa kina na kwa weledi
 
Laana ya Mafwele na Tisiem sio ?
Endeleeni kuuwa I'la mjue watu Hawa kuwamiliki kimsukule hamtaweza kamwe.
nafasi ya mwenyekiti chadema Taifa itapoteza wengi sana aise dah! Ni sumu na laaana kwa chama kizima saivi.

ni mwendo wa mihemko na ghadhabu kwa wanachama, chorous ikiwa ni kuporomasha matusi tu dah 🀣

laana ni kitu mbaya sana aise πŸ’
 
Mshana Jr kaka mkubwa nisaidie kutatua hili (ni ndoto ambazo hujirudia nikiwa mahali nilipokuwa naishi zaidi ya miaka 10 iliyopita wakati mwingine naota nikiwa mazingira ya shule, mtaani na nyumbani. Kwa sasa nipo mbali sana lakini ndoto zinanirudia mara kwa mara cha ajabu mwezi wa sita nilirejea mkoa husika nilipozaliwa wilaya nyingine 'sikwenda wilaya nilipokua' na sikupata ndoto zile hata mara moja lakini niliporejea kwangu ndoto zikaanza tena hadi hivi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…