storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,844
Bila shaka mmeikuta Jumapili mkiwa salama wana jamvi wote.
Adam na Hawa walikula tunda la mti ulokatazwa na mwenyez Mungu hivyo binadamu akapewa adhabu ya kifo.
Leo nimekuta mdudu kafa, katika mazingira hayo haionyeshi kama amekanyagwa wala kuangukiwa na kitu. Kwakua mimi si mwanasayansi nikashindwa kugundua yawezekana alipuliziwa sumu..
Imenifanya nifikiri sana kuhusu vifo vya wadudu, wanyama, miti, majani na viumbe vingine hai ambavyo vinazaliwa na kufa kwa mazingira yoyote yale..
Swali kuu ni kwamba je, baada ya Adam na Hawa kula lile tunda, laana iliyotolewa iliwalenga 'viumbe hai wote' au ni kwa 'binadamu' tu?
Kama adhabu ile ni kwa wanadamu tu, kwanini viumbe vingine vinakufa?
Najua JF naweza kupata mwanga na majibu ya kuridhisha.
Nawatakia Jumapili njema.
Adam na Hawa walikula tunda la mti ulokatazwa na mwenyez Mungu hivyo binadamu akapewa adhabu ya kifo.
Leo nimekuta mdudu kafa, katika mazingira hayo haionyeshi kama amekanyagwa wala kuangukiwa na kitu. Kwakua mimi si mwanasayansi nikashindwa kugundua yawezekana alipuliziwa sumu..
Imenifanya nifikiri sana kuhusu vifo vya wadudu, wanyama, miti, majani na viumbe vingine hai ambavyo vinazaliwa na kufa kwa mazingira yoyote yale..
Swali kuu ni kwamba je, baada ya Adam na Hawa kula lile tunda, laana iliyotolewa iliwalenga 'viumbe hai wote' au ni kwa 'binadamu' tu?
Kama adhabu ile ni kwa wanadamu tu, kwanini viumbe vingine vinakufa?
Najua JF naweza kupata mwanga na majibu ya kuridhisha.
Nawatakia Jumapili njema.