Laana ya Umri inavyoitafuna China

Na huo ndio ukweli hata mbongo 35+ hawezi kufanya kazi masaa 12+ non stop lazima achoke na lazima aumwe
 
Walegeze sheria za uzazi ili kuijaza tena nchi.
Kuzaa zaa hovyo bila malezi bora kwa watoto ni upumbavu wa kiwango cha juu huu upumbavu ubaki kwa sisi wajinga watu weusi tunao endekeza ngono zembe
 
Waongezee na jingine... Watu wenye zaidi ya miaka 35 wengi wanakuwa wana familia hivyo wanakuwa na majukumu mengine ya nyumbani wakati vijana eg miaka 20 wengi hawajaoa na hawana majukumu.
 
Child labor ni kosa kisheria kampuni haziajiri watoto

Kwamba wanaanza kazi na miaka 12 ? Unavuta bangi ?
Sio hoja ya umri. China shahada ya kwanza watu wanapata wakiwa na umri wa miaka 22.

Kwa Ivo Kwa staili ya kufanyakazi Kwa masaa 12+ mfululizo Kwa miaka 10 siyo kitu kidogo.

Hili ni tatizo na ndiyo maana chama cha Kikomunisti China kimelijadili.
 
Waongezee na jingine... Watu wenye zaidi ya miaka 35 wengi wanakuwa wana familia hivyo wanakuwa na majukumu mengine ya nyumbani wakati vijana eg miaka 20 wengi hawajaoa na hawana majukumu.
That's true Ila kuna mwamba atakubishia
 
Bongo wengi hawatakuelewa kwa sababu hawajui nchi zilizoendelea watu wanavyofanya kazi. Kwa kifupi waambie ni kama mpira wa miguu. Kwa nini mchezeji mwenye mika 35 anakosa stamina na anaitwa mzee wakati miaka 20 ana soko zaidi?
 
Sio hoja ya umri. China shahada ya kwanza watu wanapata wakiwa na umri wa miaka 22.

Kwa Ivo Kwa staili ya kufanyakazi Kwa masaa 12+ mfululizo Kwa miaka 10 siyo kitu kidogo.

Hili ni tatizo na ndiyo maana chama cha Kikomunisti china kimelijadili.
Kwa hio unapingana na mleta mada au unaungana nae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…