ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Huo ni ukatili kwa wanyama, sisi watu wa haki za wanyama tukikupata hutaamini kitakachokupata.Kwa namna ambavyo sipendi paka ningekua nishampiga mpini wa kichwa au kitofa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ukatili kwa wanyama, sisi watu wa haki za wanyama tukikupata hutaamini kitakachokupata.Kwa namna ambavyo sipendi paka ningekua nishampiga mpini wa kichwa au kitofa .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chief mtagombana tu bila sababu, cha msingi siku wife hayuko mbebe paka kamtupe mtaa wa 10 huko kuwa makini paka akiona njia atarudi, jion wife akiuliza utajifanya hujui kinachendelea kero imeisha hiyo
Mbwa wenu ana maisha mazuri kuliko mm na wenzangu wengi hahahahaPaka mbwa ni wanyama wanatunzwa vizuri sana. kwenye huu uzi nimegundua kuna watu hawawapendi hawa wanyama................ Ni hivi sisi nyumbani mbwa huwa ana nafasi yake kubwa tuu.. ana mpk freezer yake. Paka nae vile vile ingawa yeye anakula tunachokula pia.
Unampikia mbwa unaweka mpka chumvi ole wako mwenye nyumba akionje akute hakina chumvi ukila siku hiyo una bahati. Kuna siku tulilaa njaa kisa chakula alipewa mbwa kwa uzembe wa shamba boy na mama hakuwa makini.
Mbwa wenu ana maisha mazuri kuliko mm na wenzangu wengi hahahaha
paka mtaa wa 10 atarudi. ikiwezekana awekwe ktk gunia apelekwe zaidi ya km 20. KUNA ndugu alimpeleka paka kata inayofuata baada ya mwezi karudi.Chief mtagombana tu bila sababu, cha msingi siku wife hayuko mbebe paka kamtupe mtaa wa 10 huko kuwa makini paka akiona njia atarudi, jion wife akiuliza utajifanya hujui kinachendelea kero imeisha hiyo
Mkuu ni wap nimeandika huyo ni paka wangu, kuna vitu kama privacy siwezi kumpiga picha paka wa hapa nimuweke humu, PRIVACY!!Wewe unatulisha matango pori! Hii picha umeitoa hapa
![]()
Bengal Cat Named Thor Looks Like a Cross Between a Leopard and Tiger
Having the same name as Thor, the hammer-wielding Norse god, is a lot to live up to, but a Bengal cat with an identical moniker does it justice. Themymodernmet.com
Weka caveat basi ukiandikaMkuu ni wap nimeandika huyo ni paka wangu, kuna vitu kama privacy siwezi kumpiga picha paka wa hapa nimuweke humu, PRIVACY!!
Ondoka kwenu umeshazeekaPaka mbwa ni wanyama wanatunzwa vizuri sana. kwenye huu uzi nimegundua kuna watu hawawapendi hawa wanyama................ Ni hivi sisi nyumbani mbwa huwa ana nafasi yake kubwa tuu.. ana mpk freezer yake. Paka nae vile vile ingawa yeye anakula tunachokula pia.
Unampikia mbwa unaweka mpka chumvi ole wako mwenye nyumba akionje akute hakina chumvi ukila siku hiyo una bahati. Kuna siku tulilaa njaa kisa chakula alipewa mbwa kwa uzembe wa shamba boy na mama hakuwa makini.
Hivi ninyi siyo wakinga kweli?Paka mbwa ni wanyama wanatunzwa vizuri sana. kwenye huu uzi nimegundua kuna watu hawawapendi hawa wanyama................ Ni hivi sisi nyumbani mbwa huwa ana nafasi yake kubwa tuu.. ana mpk freezer yake. Paka nae vile vile ingawa yeye anakula tunachokula pia.
Unampikia mbwa unaweka mpka chumvi ole wako mwenye nyumba akionje akute hakina chumvi ukila siku hiyo una bahati. Kuna siku tulilaa njaa kisa chakula alipewa mbwa kwa uzembe wa shamba boy na mama hakuwa makini.
Wanyama wote wanabaraka, lkn ukihushisha Iman chanyaKuna sehemu nilisikia wanyama nao wanabaraka zao ukiwa nao nyumbani.
Hajasema hyo picha ndio,ya paka wake RUDIA KUSOMA UELEWEKwanza hajaoa na wala hakuna paka. Huyu ni wafurahisha genge. Ona hiyo picha ni hii hapa Bengal cat
![]()
Bengal Cat Named Thor Looks Like a Cross Between a Leopard and Tiger
Having the same name as Thor, the hammer-wielding Norse god, is a lot to live up to, but a Bengal cat with an identical moniker does it justice. Themymodernmet.com
Ameweka sema hujasomaWeka caveat basi ukiandika
Paka kamfundisha wife kujisaidia??Faida pekee ambayo mke wangu anaisema ni kwamba kamfundisha kujisaidia kwenye ka box kake na huwa anamuogesha kila wiki, sasa hii ni faida gani?
Hata sisi mbwa ilikuwa mkimlaza njaa wanatwambia basi na nyie msile ili msikie njaa kama anavoisikia hyo mbwa(mama alikuwa na huruma na viumbe anasema kama huwezi kumlisha vizuri ni bora usimfuge )paka nawapenda sema sijawahi wafugaPaka mbwa ni wanyama wanatunzwa vizuri sana. kwenye huu uzi nimegundua kuna watu hawawapendi hawa wanyama................ Ni hivi sisi nyumbani mbwa huwa ana nafasi yake kubwa tuu.. ana mpk freezer yake. Paka nae vile vile ingawa yeye anakula tunachokula pia.
Unampikia mbwa unaweka mpka chumvi ole wako mwenye nyumba akionje akute hakina chumvi ukila siku hiyo una bahati. Kuna siku tulilaa njaa kisa chakula alipewa mbwa kwa uzembe wa shamba boy na mama hakuwa makini.
Nilisikia kuwa paka/mbwa huwa wanafundishwa kulamba papuchi..Huyo paka kama ni dume kuwa makini, chochote kinaweza kutokea