Labda mnielimishe nyie, sioni faida ya paka ambae mke anamgharamia sana bila faida

Kwa namna ambavyo sipendi paka ningekua nishampiga mpini wa kichwa au kitofa .
Huo ni ukatili kwa wanyama, sisi watu wa haki za wanyama tukikupata hutaamini kitakachokupata.
 
Chief mtagombana tu bila sababu, cha msingi siku wife hayuko mbebe paka kamtupe mtaa wa 10 huko kuwa makini paka akiona njia atarudi, jion wife akiuliza utajifanya hujui kinachendelea kero imeisha hiyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbwa wenu ana maisha mazuri kuliko mm na wenzangu wengi hahahaha
 
Mbwa wenu ana maisha mazuri kuliko mm na wenzangu wengi hahahaha


Hamna ni ile tuu anapata chakula chake ipasavyo na huwa anakula mara moja tuu saa 4 usiku mpk tena kesho yake saa 4 mchana anakuwa anakunywa maji na kulala tuu.. wala hayupo mmoja wako 4
 
Chief mtagombana tu bila sababu, cha msingi siku wife hayuko mbebe paka kamtupe mtaa wa 10 huko kuwa makini paka akiona njia atarudi, jion wife akiuliza utajifanya hujui kinachendelea kero imeisha hiyo
paka mtaa wa 10 atarudi. ikiwezekana awekwe ktk gunia apelekwe zaidi ya km 20. KUNA ndugu alimpeleka paka kata inayofuata baada ya mwezi karudi.
 
Ondoka kwenu umeshazeeka
 
Hivi ninyi siyo wakinga kweli?
Paka wenu siyo mweusi kweli?
Siyo kwamba huyo paka ana chumba chake kweli?

Tuanzie hapo
 
Hata sisi mbwa ilikuwa mkimlaza njaa wanatwambia basi na nyie msile ili msikie njaa kama anavoisikia hyo mbwa(mama alikuwa na huruma na viumbe anasema kama huwezi kumlisha vizuri ni bora usimfuge )paka nawapenda sema sijawahi wafuga
 
Paka tu unaona wivu anavyokila...ukiishi na ndugu za mkeo je?????

Mradi hakudhuru fanya kama hayupo
 
Sioni tatizo....ni interest yake tu. Labda kama anatumia gharama kubwa hapo ndo tatizo ila kwa samaki kwa wiki na maziwa bado si nyingi coz hali samaki mzima.... Wema sepetu ndo mthenge alifanyiaga umbwa yake shopping china milion 6 eti. Yule ningeua angekua dem wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…