Labda Mungu tu ndo atawaokoa Atletico Madrid Alianza Arena

Labda Mungu tu ndo atawaokoa Atletico Madrid Alianza Arena

Nilishangaa eti porto benfica....
hamna mkate mgumu mbele ya Chai hata ya baridi...
 
Yoyote yule anaweza kuaga, AT sio Porto wala timu yoyote. AT sio wabaya ugenini labda wasiwe na bahati. Mara nyingi Guardiola akipakiwa Kontena na watu kucheza kwa Counter huwa anachemka ila sijui kwa Game hii, naona yoyote yule anaweza kutolewa na kupita maana bingwa wa kombe anatoka hapa.


naanza kukuelewa atletico ni bingwa nina uhakika kocha muhuni sana huyu diego semion
 
Bravo still Bahati AT wanayo
....hakuna bahati,hii timu Simeone kaitengeneza kuanzia nyuma,ni wagumu haswa kufungika,na counter zao ni za moto hazishikiki!,Kama Bayern kakosa penat na wao Atleti wamekosa!, hakuna bahati hapo!
Hawa viumbe wanaenda kuchukua hilo kombe properly,no matter nani atashinda kesho!
 
Ni maajabu ya kweli, walijiamini kupita kiasi.
Aiseee acha kabisa huku ndo kusema Mpira unadunda!!,Real Madrid nao wakae attention Man City anaweza fanya maajabu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mbona ndugu unajichanganya?kila team huwa wana abbreviation au nickname eg Man U,Barca,The blues,The gunners etc
Mkuu sio kujichanganya nilimaanisha unavyo rate AT,ni kama spurs na aston villa vile....!!! Simeone na big games ni THE END
 
Inawezekana kabisa MANCITY wakaamuadhiri mtu lakini kama watacheza kama walivyocheza juzi na Southampton basi nao watalambwa tu

Aiseee acha kabisa huku ndo kusema Mpira unadunda!!,Real Madrid nao wakae attention Man City anaweza fanya maajabu.
 
...Barca kutolewa na Atleti ilikuwa halali,leo Bayern nae kapigwa,yoyote ataefata nae atakula tu!,na wale ndugu zangu ndio walifurahia kweli kumkwepa Atleti kwenye robo fainali...Ameshatangulia..!!!
 
Sometimes pamoja na ufundi mwingi (team tactics) bahati kwenye football ipo,hilo halina ubishi.Unajua kwanini scenario kama hii naizungumzia Atletico Madrid wazee wa deep defence?1 st leg ya semi Final UEFA champions league walipocheza na Bayern Munich pamoja na kuwa nyumbani kwao technically walizidiwa na bahati ndo iliwafanya washinde sole goal la Saul Niguez .

Sio kama na ignore ufundi wa wachezaji mafundi wa AT kama Fernando Torres(El-nino inasemekena amefufuka tena score yake per match inatisha),Antonio Griezman ,Godwin ,Koke ,Fillipe Luis,Gabi etc
Kiufundi kabisa ukiangalia kwa umakini ukaacha ushabiki pembeni Buyern walipiga mpira wa hali ya juu sana na walitengeneza magoli mengi sana sema tu hawakuwa na bahati

Tukija upande wa makocha Diego Semeone ni mission town kocha mjanja mjanja ambaye anashinda game zake ngumu nyingi kwa kutumia ufundi wa kisaikolojia wakati Pap Gudiola ni kocha Fundi ambaye ni mwepesi sana wa ku cope na ku exploit weakness ya opponent wake ,huku akitumia vipaji vya team yake kama Robert Lendowsky,Thomas Muller ,Thiago Alcantara ,Jerome Boateng ,Arjen Roben -fundi ,Vidal,Martinez ,Frank Ribery ,Gotze etc huwa anapata sana ushindi wa goal nyingi sana uwanja wa nyumbani ,situation kama hii tumeiona msimu huu wa UEFA ,kwenye match dhidi ya Juventus(16 bora),BenFica(quarter final) na hata msimu wa mwaka jana nani amesahau kama Bayern alipigwa Goal 3-1 robo fainali na Porto akageuza matokeo kwa kumpiga 6-1 Alianza Arena?

Kama experience ambacho ni kigezo kikubwa cha UEFA ili uweze ku strive wachezaji wa Bayern ndo walewale ambao wanapindua matokeo kwa home advantage ground na wachezaji wa AT wengi wao na kocha ni wale wale ambao wanahistoria yakupoteza match kubwa kwa kuzuia sana mara baada ya kupata ushindi (Refer UEFA champions league mwaka 2013-2014 hadi dakika ya 75 Atletico alikua anaongoza kwa goal 1 kutokana na Psychological maturity ya players wakubwa wa Madrid walibadilisha matokeo na kuchukua ndoo wakimuacha Simeone Diego mdomo wazi huku akiwa tayari alishaliambia jukwaa waanze kushangilia ushindi na kurudisha wachezaji nyuma kuzuia)

Kwahiyo Bayern kuanzia ufundi wa kocha Pap Gudiola ,uwezo mkubwa sana wa kikosi chake wake( wanajulikana sana kwa ma shoot makali) historia ya home ground ,umuhimu wa match bila kusahau style yao yakuzishinda uwanja wa nyumbani kuliko ugenini ukilinganisha na weakness na strength za Atletico ,Namuona Pap Gudiola anatengeneza njia ya Fainal ya UEFA

Naomba tukutane hapa baada ya match siku ya jumanne

It's time you eat your own words
Go Atleti
 
Mkuu sio kujichanganya nilimaanisha unavyo rate AT,ni kama spurs na aston villa vile....!!! Simeone na big games ni THE END
Wanaweza kuwa mabingwa I can bet maana siioni team yakuwazuia baada ya Buyern
 
Haya sasa mende kesha dondosha ligholofa, wakuuwawa auwawe, anyooshe shingo yake tuielekezee kibra....
 
...Barca kutolewa na Atleti ilikuwa halali,leo Bayern nae kapigwa,yoyote ataefata nae atakula tu!,na wale ndugu zangu ndio walifurahia kweli kumkwepa Atleti kwenye robo fainali...Ameshatangulia..!!!


zidane analia tu peke yake mana shughuli yao anaijua najua man city atapokea za kutosha alishindwa kutumia uwanja wake.
 
Back
Top Bottom