Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna hawatacheza game vile siku Ile walikubali kufungwa na walikuwa na tahadhari kubwa wasipate majeruhi,Man City kny ligi kakubali matokeo sasahivi kawekeza nguvu zote kwenye UEFA.Inawezekana kabisa MANCITY wakaamuadhiri mtu lakini kama watacheza kama walivyocheza juzi na Southampton basi nao watalambwa tu
Kwa style hii hata Madrid unaweza kuta wanatolewa kesho
Mi kesho team madridKwa style hii hata Madrid unaweza kuta wanatolewa kesho
Hadithi yooote hiyo ndefu alifundishwa na nani?Mpira ni dakika 90...
Sio porojo...Maneno ya mdomoni...
Dadadeki...
ATL haooooooo fainali...
za kipuuzi kweli yani imagine mkeka unaaribika because of sheria ya kijinga acha tu nikalale manake naweza kukumbatia transformer nife bure!Sheria ya away goal ndo mana wengine wanaipinga nimeelewa maana yake
Aaahzidane analia tu peke yake mana shughuli yao anaijua najua man city atapokea za kutosha alishindwa kutumia uwanja wake.
tuko wengi mkuu,kesho Madrid anakufaIt's my wish finally iwe ni ATM vs Man City
Wanaipinga kama wewe ilivyokusulubu lkn ungeipenda sana kama ungeshinda wewe kwa hiyo sheriaSheria ya away goal ndo mana wengine wanaipinga nimeelewa maana yake
Huu ni mwaka wa underdogs, fingaz crossed!It's my wish finally iwe ni ATM vs Man City
Kweli mkuu unaujua vema mpiraNawapenda wote so atakayeshinda yeyote poa tu! Unajua watu wanaichukulia poa sana Atletico lakin hawa jamaa ni nyoko! Wanaweza fanya chochote muda wowote!
Hamna hawatacheza game vile siku Ile walikubali kufungwa na walikuwa na tahadhari kubwa wasipate majeruhi,Man City kny ligi kakubali matokeo sasahivi kawekeza nguvu zote kwenye UEFA.