Label ya WCB imeshuka kiuwezo, baada ya Harmonize kutoka imebaki na wasanii local

Label ya WCB imeshuka kiuwezo, baada ya Harmonize kutoka imebaki na wasanii local

Mzee unaweweseka mno, umeiona video ya Teamo lakini? huyo konde visingeli unamweka wap kwa mfano?

Kwa sasahiv;-
Yummy - Justin Bieber (5/10)
Teamo - Rayvanny (8.5/10)

Ukibisha toa udenda kajinyongee
 
Mkuu Jikite kwenye mada Naongelea label ya Wcb au Diamond hawakilishi Wcb? Label iko hoi Hata uyo Diamond kwa sasa anatembelea Jina hana jipya,.

Huko kwenye matamasha ya kualikwa ni kawaida, maana hata kule kigoma alikusanya rundo la wasanii mwisho wa siku akajipa sifa mwenyewe
Wewe umealikwa wapi ?
 
Tukiachana na ushabiki ni kweli mpaka sasa sijaona faida waliyopata WCB alipoondoka Harmonize na wala sijaona mafanikio aliyopata alipoondoka WCB. Wote walipata mafanikio walipokuwa pamoja tofauti na sasa. Sioni mwanga wala dalili njema kwa wote. 1+1 > 2
 
Robidinyo, Hii ni orodha ya nyimbo 10 zilizotazamwa zaidi Tanzania

Nnamaanisha hata harmonize bila diamond ni bure tu atabakia kua kama wasanii wengine tu wakawaida

Ukiangalia hapo chini kila ngoma inayomhusu mondi ni hit
Screenshot_2020-02-10-11-24-13.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiachana na ushabiki ni kweli mpaka sasa sijaona faida waliyopata WCB alipoondoka Harmonize na wala sijaona mafanikio aliyopata alipoondoka WCB. Wote walipata mafanikio walipokuwa pamoja tofauti na sasa. Sioni mwanga wala dalili njema kwa wote. 1+1 > 2
Ni kweli umoja ni nguvu ila mtoto akikua mwache aende , dunia itatoa majibu kama ulikuwa uamuzi wake au kuna watu walimlazimisha tu , wacha tuweke sawa kumbukumbu
 
Waganga njaa wa mjini naona mpo kutetea ugali mkiongozwa na jamaa moja hivi hapa silitaji..
 
Back
Top Bottom