Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap,,umetisha sana kaka mkuuMpaka sasa breakup ya WCB na Harmo kwangu naiona kama iko kwenye lose lose situation.
WCB siyo wale tena waliokuwa na Harmo, na Harmo siyo yule tena aliyekuwa WCB.
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
Mpaka sasa breakup ya WCB na Harmo kwangu naiona kama iko kwenye lose lose situation.
WCB siyo wale tena waliokuwa na Harmo, na Harmo siyo yule tena aliyekuwa WCB.
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
Ongeza na hii Boomplay.
Upo sahihi kabisa, Harmo hayupo level za Diamond, na akina Rayvan hawapo level za Harmo. Ukimtoa Daimond,Harmo alikuwa anafuata kwa kuibeba Lebel.Mpaka sasa breakup ya WCB na Harmo kwangu naiona kama iko kwenye lose lose situation.
WCB siyo wale tena waliokuwa na Harmo, na Harmo siyo yule tena aliyekuwa WCB.
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
ko we barnaba unamfananisha na nan katka hao...?Nawashangaaga watu wanao mlinganisha Harmonize na Rayvan wakati rayvan hajamzidi kitu barnaba.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani alipokuwepo ulijua faida wanayopata..?Tukiachana na ushabiki ni kweli mpaka sasa sijaona faida waliyopata WCB alipoondoka Harmonize na wala sijaona mafanikio aliyopata alipoondoka WCB. Wote walipata mafanikio walipokuwa pamoja tofauti na sasa. Sioni mwanga wala dalili njema kwa wote. 1+1 > 2
Nilijua ndio kwani unatakaje?kwani alipokuwepo ulijua faida wanayopata..?
we unahusika vp pale wasafiNilijua ndio kwani unatakaje?
Well saidMpaka sasa breakup ya WCB na Harmo kwangu naiona kama iko kwenye lose lose situation.
WCB siyo wale tena waliokuwa na Harmo, na Harmo siyo yule tena aliyekuwa WCB.
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
Ajiita BILIONEA KID [emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]MKUU mbona harmonize na Rich mavoko baada ya kutoka wcb wamekua local ?, kama harmonize hatoi hit songs tena , Mavoko sijui kaamua kua mvuta bangi
Sent using iphone
Kiuchumi wakati ajamaliza hata deni la contract termination plus show za bure dailyUpo sahihi kabisa, Harmo hayupo level za Diamond, na akina Rayvan hawapo level za Harmo. Ukimtoa Daimond,Harmo alikuwa anafuata kwa kuibeba Lebel.
Hawa jamaa wote wamepoteza kwa namna fulani. Ila still naamini kwa sasa Harmo anapata mafanikio kiuchumi sababu yupo independent.
Sent using Jamii Forums mobile app