Label ya WCB imeshuka kiuwezo, baada ya Harmonize kutoka imebaki na wasanii local

Label ya WCB imeshuka kiuwezo, baada ya Harmonize kutoka imebaki na wasanii local

Numbers don't lie [emoji23]
Screenshot_20200212-140919.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa breakup ya WCB na Harmo kwangu naiona kama iko kwenye lose lose situation.

WCB siyo wale tena waliokuwa na Harmo, na Harmo siyo yule tena aliyekuwa WCB.

Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
Upo sahihi kabisa, Harmo hayupo level za Diamond, na akina Rayvan hawapo level za Harmo. Ukimtoa Daimond,Harmo alikuwa anafuata kwa kuibeba Lebel.

Hawa jamaa wote wamepoteza kwa namna fulani. Ila still naamini kwa sasa Harmo anapata mafanikio kiuchumi sababu yupo independent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We lebo yako kubwa yenye mameneja wanaojielewa na wabunifu imekufikisha wapi ??Tujifunze kutia moyo wenzetu wanaojitahidi kupiga hatua kimaendeleo tusiwe watabiri wa mikosi na kuanguka wenzetu mana hatufaidiki kwa lolote
 
Tukiachana na ushabiki ni kweli mpaka sasa sijaona faida waliyopata WCB alipoondoka Harmonize na wala sijaona mafanikio aliyopata alipoondoka WCB. Wote walipata mafanikio walipokuwa pamoja tofauti na sasa. Sioni mwanga wala dalili njema kwa wote. 1+1 > 2
kwani alipokuwepo ulijua faida wanayopata..?
 
Kumbe huyu Harmonize siyo msanii local🙄 ni International mmakonde wa Msumbiji??



Everyday is Saturday.................😎
 
Harmonize amewapoteza sanaa ....wanahangaika kupata atakae chukuwa nafasi yake bila mafanikio inabidi tu boss wao domo aichukuw nafasi ya harmonize [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi kabisa, Harmo hayupo level za Diamond, na akina Rayvan hawapo level za Harmo. Ukimtoa Daimond,Harmo alikuwa anafuata kwa kuibeba Lebel.

Hawa jamaa wote wamepoteza kwa namna fulani. Ila still naamini kwa sasa Harmo anapata mafanikio kiuchumi sababu yupo independent.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuchumi wakati ajamaliza hata deni la contract termination plus show za bure daily

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom