Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Diamomd hakuna wakuichua na kulinganishwa naye ,na pia harmonize haingii hata kidogo kwa rayvanny shusha data na mimi ni shushe data naanza na BET awards okHarmonize amewapoteza sanaa ....wanahangaika kupata atakae chukuwa nafasi yake bila mafanikio inabidi tu boss wao domo aichukuw nafasi ya harmonize [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app