[emoji16][emoji16][emoji16] daahMwanamke hajui kubadilisha oil ya gari, hajui kuendesha semi-trailer, hajui kusafisha bunduki, hajui kutegua bomu la nyuklia.... Hajui kupigana na predator.
Huyo mwanamke me wa kazi gani..... Si bora ni bakie pekee yangu.
Mzee mwenzangu nawe ulishawah tendwa?Mchango wake kwangu ni ku spoil furaha yangu, hiki ndicho wanawake wengi wanachokijua na kukiweza.
Anakuja kwako na maneno mengi matamu, kumbe moyoni ana bwana wake mwingine kabisaaaa
Kwani Hawa viumbe wapo kwa ajili ya Nini? Only to break men's hearts ❤️. Adam, Samson etc wote baraka zao zilifyonzwa na Hawa viumbe Hawa. Na kwa taarifa yako, jina Hawa ni kifupi tu Cha HawatuweziMzee mwenzangu nawe ulishawah tendwa?
Kuanza pamoja is overrated.
Unaanza nae unakuwa " the woman he can get ", mkipasua anatafuta "the woman he actually wants " 🤭🤭 . Wanaume wengi wanasettle na wanawake kupunguza makali ya maisha lakini si kwamba mapenzi ni ya dhati.
Kama Mimi Ni broke or not, kama ningekuwa approached na mtu alietafuta mwenyewe I will know I am the woman he actually wants.
Brother...heshima kwako.Nasoma maoni katika kikao cha wadada/wanawake.
Umeolewa?[emoji39] Naomba nikuoe tutaanza chini kabisa[emoji39]
Tatizo wanawake wengi wa hapa Bongo wako na tamaa kama hii ya Hamisa Mobeto, wanamfuata jamaa kisa ana hela ili awe anazitumia tu pesa na kujianika mitandaoni kuwa kapata. In reality hana any contribution katika maendeleo ya huyo mtu. Siku za nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke wa dizaini ya Hamisa na Wema, yule mwanamake alijuwa kuwa nina mke na alijitahidi sana kushindana na mke wangu na kutaka nimuache niwe naye yeye.
Najuwa nilifanya kosa kumcheat mke wangu ila haikuwa nia yangu, huyu mwanamke alikuwa kero kwangu, so kwa kifupi nilidhani ningeduu naye angeniacha alone kumbe sivyo. Mdada alikolea penzi na kunipigia simu hata nikimwambia niko na mke wangu anaanza kubwaka, yaani mimi unaniona sifai siyo?
Namwambia wewe na mimi ni marafiki tu huyu ni mke wangu, anakasirika na kuanza kumsaka mke wangu wajilinganishe. Nilikuja kumuacha aliponiambia nimjengee nyumba kama anayoishi mke wangu na nimnunulie gari kama la mke wangu, nikamtalia na kukata line.....Sasa anasema atanikomesha kwanini nimempotezea muda, yaani wanawake kwa kweli mnaboa sometimes.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hajui hata kurusha RPG wa kazi ganiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaaa
Asante mkuú sumbai, sijakuona mda sana mzee!Brother...heshima kwako.
Kwa hiyo wa chini tutafutane wenyewe, wa juu waendelee kivyao. Mbona maisha hayana fairness kiasi hicho.Haha stereotypes kila sehemu..kila watu wana level zao
Hamna mwanaume mwenye akili timamu anayefurahia mizinga/invoices...navojua nobody likes to be used
Asante mkuú sumbai, sijakuona mda sana mzee!
Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.Tutaannzia hapohapo. Contributions zangu ni nyingi ntazaa ntalea watoto ntafua yani all kind of staff ndani ntafanya. Nadhani anahitaji zaidi hili kuliko mali alizonazo maana kuzaa hawezi bila mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeua mkuu!Tangu wautoe uzi wetu pendwa sina hamu na jf
Ha ha ha, uliuvaa mkenge.Tatizo wanawake wengi wa hapa Bongo wako na tamaa kama hii ya Hamisa Mobeto, wanamfuata jamaa kisa ana hela ili awe anazitumia tu pesa na kujianika mitandaoni kuwa kapata. In reality hana any contribution katika maendeleo ya huyo mtu. Siku za nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke wa dizaini ya Hamisa na Wema, yule mwanamake alijuwa kuwa nina mke na alijitahidi sana kushindana na mke wangu na kutaka nimuache niwe naye yeye.
Najuwa nilifanya kosa kumcheat mke wangu ila haikuwa nia yangu, huyu mwanamke alikuwa kero kwangu, so kwa kifupi nilidhani ningeduu naye angeniacha alone kumbe sivyo. Mdada alikolea penzi na kunipigia simu hata nikimwambia niko na mke wangu anaanza kubwaka, yaani mimi unaniona sifai siyo?
Namwambia wewe na mimi ni marafiki tu huyu ni mke wangu, anakasirika na kuanza kumsaka mke wangu wajilinganishe. Nilikuja kumuacha aliponiambia nimjengee nyumba kama anayoishi mke wangu na nimnunulie gari kama la mke wangu, nikamtalia na kukata line.....Sasa anasema atanikomesha kwanini nimempotezea muda, yaani wanawake kwa kweli mnaboa sometimes.
Usikariri sisi hua akili zetu tunazijua wenyeweKuanza pamoja is overrated.
Unaanza nae unakuwa " the woman he can get ", mkipasua anatafuta "the woman he actually wants " [emoji2960][emoji2960] . Wanaume wengi wanasettle na wanawake kupunguza makali ya maisha lakini si kwamba mapenzi ni ya dhati.
Kama Mimi Ni broke or not, kama ningekuwa approached na mtu alietafuta mwenyewe I will know I am the woman he actually wants.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeua mkuu!
Ha ha ha, eti you'll know ur the woman he wants, to add which values?. Wadada wengi ni liability wa kutupa, wengi hata ku maintain hizo mali hawawezi zaidi ya kutafuna tu.Kuanza pamoja is overrated.
Unaanza nae unakuwa " the woman he can get ", mkipasua anatafuta "the woman he actually wants " 🤭🤭 . Wanaume wengi wanasettle na wanawake kupunguza makali ya maisha lakini si kwamba mapenzi ni ya dhati.
Kama Mimi Ni broke or not, kama ningekuwa approached na mtu alietafuta mwenyewe I will know I am the woman he actually wants.
Na bado kuna mtu anamvumilia anajisemea moyoni mwake "kuna siku atabadilika tuu"Hehehe sasa Kuna wanaume ata Mali bado hawana lkn anavo kutreat kama anakufanyia hisani kuwa nae na hapo ata kazi hana nawaza tu upepo wa pesa ukimpitia cjui itakuwaje, apo akishika tu 50 anabadilika sasa akishika millions of money.