Ladies mliopo Dodoma...

Ladies mliopo Dodoma...

Muda mrefu naboreka sana kwa kukosa kampan....
nilizoea sana kampani za wanafunzi wenzangu nilipokuwa nasoma, yani tangu nimalize kusoma sina marafiki wa kutembeleana nao, kutoka wala kuzurura, shemeji yenu yupo mbali ndo nachoka kabisa
Nahitaji marafiki asee, ladies mliopo dom tuwasiliane plz hobby yangu ni kuzurura
men sijawatenga nyie tutakutana hapa hapa...

Mkuu, kuanzia tarehe 18 February roho yako itaburudika sana. Kama 2000 hivi wanaelekea huko kushuhudia bunge la katiba kwa hiyo utapatiamo humo.
 
Mkuu, kuanzia tarehe 18 February roho yako itaburudika sana. Kama 2000 hivi wanaelekea huko kushuhudia bunge la katiba kwa hiyo utapatiamo humo.

Mmmmh una yako...
 
Pale mjini kati mbele mbele ya bima kuna muke mmoja wa muitaliano anauza maakuli ya kiitaliano,,,,,,,,,, uwe unapita pita

hapo kusafisha kiwi cha utumbo.........

nikifika napewa menu hata siielewi bora ungekuwepo unisaidie
 
mama mwenyewe ni mswahili , utaeleweshana naye kiswahili...........

next week nikija huko nitakupeleka ukapige mambo ya kiitaliano...........

Mi naogopaga mashikolo naweza kula tumbo likavurugika nikageuka bata....
 
Nimechoka kula michembe, nna hamu na zabibu
nimechoka kunywa balimi nna hamu na dompo....

sasa, ulitakiwa usafiri angalau mpaka bihawana kule ndo kuna zabibu taaamu na wine za kumwaga!

dom sometimes is my home... zabibu zimechangia sana kuniongezea urefu wa ....!
 
Back
Top Bottom