Ladies mliopo Dodoma...

Heeeee.....makubwaaa!!!
Mie mkeo tangj lini? We nilikuacha kwa kuwa ulikuwa mbahili sana.

Nilikwambia unitumie pesa ukauchuna, wenzio wananibeba jumlaaaaaπŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
Nikija dom ntafanya malipizi sweetheart 😘 ungekuwa dsm ingekuwa bora zaidi
 
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈ
 
Aiseee πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Threads za zamani zilikuwaje sijui ingawa nina miaka 14 humu sikuwahi kuwa na threads kama hizi
 
Nije nikutembelee basi
 
Heeeee.....makubwaaa!!!
Mie mkeo tangj lini? We nilikuacha kwa kuwa ulikuwa mbahili sana.

Nilikwambia unitumie pesa ukauchuna, wenzio wananibeba jumlaaaaaπŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
Nakuja dodoma.. wine tutaongea kikubwa ila nasikitika kuniabisha kwa mdogo wangu PSL god .. 😰😰
 
Kuchelewa kjiunga JF haimaanishi kuwa mimi ni mdogo kuna wazee wa 74+ wamejiunga 2020 humu
Wewe dogo..
Ila mdogo wangu wa faida βœŒοΈπŸ˜…πŸ€£ kitj sijapenda ni stress uliyompa bby wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…