Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #41
mbona kidogo sana?
hutaki zikuongezee na nanii ile ya ....?
Hiyo itaongezwa na dompo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kidogo sana?
hutaki zikuongezee na nanii ile ya ....?
Naomba mtaji honey
I love u very much....
hivi hapo umeandika kijapani au lugha gani mpnz?..........
mbona havisomeki aseeeeeh............
Nimesema I love u
hapa nimekusoma , i love you too..........
I love u more, naomba mtaji sweet....
haya maandishi wakati mwingine hayasomeki , sijui ni skrini ya kompyuta au umeme mdogo..........
hapo umeandikaje mpenzi wangu?
ha ha ha ha ha mbavu zangu mie
nasema hivi I love u umenisoma?
hapa yaani unasomeka kwa herufi kubwa na maandishi ya Bold.............
i love u too mamaaaa...........
haya maandishi wakati mwingine hayasomeki , sijui ni skrini ya kompyuta au umeme mdogo..........
hapo umeandikaje mpenzi wangu?
Naomba mtaji mpenzi
yaani katika siku ambazo hii kompyuta na network inaniudhi ni leo,,,,,,,,,,
inatranslate translate lugha mpaka inakuwa kero............
hebu jaribu kuandika kichini labda itasomeka, hapo naona madudu tu.
Ha ha ha ha ha
Umeyataka mwenyewe chukua miwani si shemejio tupate.
mjini hapa mkuu , usipojua kuruka vihunzi vya hawa viumbe unaweza bakia mfupa...........
mjini hapa mkuu , usipojua kuruka vihunzi vya hawa viumbe unaweza bakia mfupa...........
Madame BMuda mrefu naboreka sana kwa kukosa kampan....
nilizoea sana kampani za wanafunzi wenzangu nilipokuwa nasoma, yani tangu nimalize kusoma sina marafiki wa kutembeleana nao, kutoka wala kuzurura, shemeji yenu yupo mbali ndo nachoka kabisa
Nahitaji marafiki asee, ladies mliopo dom tuwasiliane plz hobby yangu ni kuzurura
men sijawatenga nyie tutakutana hapa hapa...
hahaha mkuu umetisha sana,much respect.
Halafu acha hizo wewe.
Mi sio mwanachuo kipenzi 😭😭😭Halafu acha hizo wewe.
Mada ya 2014 unaifufua mwaka huu?
Afu vyuo si vimeshafunguliwa?
Unafanya nini hapa sahv?