Wewe ndio shetani, na ukaleta mambo yako kwenye himaya yangu. Matokeo yake umenifukuzia warembo wangu wote kwa mpigo. Ila watarudi tu π πMnanifurahisha nyie kwa muungano wenu wa kumkataa shetani na mambo yake yote π€£π€£π€£π€£π€£
Eeh mzee mwenzangu, hivi vitu tumeumbiwa sisi, unachagua tu ni wapi na nani na saa ngapiHahahahaha huku anachezezea sharubu sio
hiyo si ni alama ya upendo tu mtumishi, na actually tumezungumza masuala ya kazi tu. uskue na wasi wasi na haina madhara mengine πWewe unakubalije kutajwa na bff wangu halafu unajichekesha?? Hilo ua vipi na kiss π€£π€£π€£π€£π€£
Sawa sawaEeh mzee mwenzangu, hivi vitu tumeumbiwa sisi, unachagua tu ni wapi na nani na saa ngapi
Nina shida nae mimi? Naruka na vitoto bado nta, siburi kwanza nimalizie uzee wangu acha kunisagia kunguni.Nani bibi?? Ww kibabu jishikilie na utakuwa humpati kweli ujue π€£π€£π€£π€£
Kipenda roho, ila nyama mbichi shekhe. Ila hakuna wanawake wenye joto na amsha amsha kama mashangazi. Huitaji kujitutumua sana, akitaka dushe lisimame linasimama muda huo huo.Mishangazi niipeleke wapi, kupasha mwili joto hadi maji yachemshwe...
Hizo kazi tumwachie Analyse...
AtakujaAkitoka huko kama kang'atwa na nyigu hiyo speed yakeπππ
HahahahahaNyie mmechoka, hadi mpashwe ni leo?π€£π€£
Arusha unakaa maeneo gn.?Weee thubutu.!!! Hivi unajua utamu wa chuga boy wewe?!! Lile βJITU LA MISITU KM TARZANβ yani hii Tz wanawake tunaokojozwa tuko wawili komando Jide na mimi Lamomy π€£π€£π€£π€£π€£
Tatizo wengi hawaijui siri ya mchezo. Na mpaka nikiachana na mashangazi nitakuwa na experience ya kutosha ya namna nzuri ya kuzichakata π πHuyu mwenzenu anajiweza kwakweli kama namuona shangazi akiwa juu yake....hahaha mkristo ushike moyo π€£π€£
Ndio mzuriHuu uzi unachekesha sanaππ
Kwa upande wa mabinti, nimeacha nafasi special kwa ajili yako πKwendraaaπ€£π€£π€£
ππππKuna siku aliniparua usoniAtakuja
Kuwaita wanafki na waizi
Mnaenda kumchekea Selemani wake PM
π€£π€£
Umetajwa mkuuπNdio mzuri
Endelea kunichachua uone, sie wazee wa mjini hatuna aibu, shauri yako. Kwanza umesema upo na raia ya chugga, hivi kweli?...chugga?...wala miraa? Phew!π€£π€£π€£π€£π€£ Unaona kibabu chako kinaanza uchokozi?? Nikikichachua unalalamika ohhh muache ndo shemejio huyo πππ
Kurudi hao sahau π€£π€£π€£π€£π€£Wewe ndio shetani, na ukaleta mambo yako kwenye himaya yangu. Matokeo yake umenifukuzia warembo wangu wote kwa mpigo. Ila watarudi tu π π