Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Wewe unakubalije kutajwa na bff wangu halafu unajichekesha?? Hilo ua vipi na kiss 🀣🀣🀣🀣🀣
hiyo si ni alama ya upendo tu mtumishi, na actually tumezungumza masuala ya kazi tu. uskue na wasi wasi na haina madhara mengine πŸ’
 
Mishangazi niipeleke wapi, kupasha mwili joto hadi maji yachemshwe...

Hizo kazi tumwachie Analyse...
Kipenda roho, ila nyama mbichi shekhe. Ila hakuna wanawake wenye joto na amsha amsha kama mashangazi. Huitaji kujitutumua sana, akitaka dushe lisimame linasimama muda huo huo.

Hao mabinti nimewaachieni, ila siku mkifanikiwa kuijua siri, mtajuta why mmechelewa. Kipindi icho, Kila shangazi mnayemgusa ni ex wangu πŸ˜‚πŸ˜…
 
Weee thubutu.!!! Hivi unajua utamu wa chuga boy wewe?!! Lile β€œJITU LA MISITU KM TARZAN” yani hii Tz wanawake tunaokojozwa tuko wawili komando Jide na mimi Lamomy 🀣🀣🀣🀣🀣
Arusha unakaa maeneo gn.?
mm nimezaliwa daraja mbili na ndiko nilipokulia huko ila sasa niko Dar.
 
Huyu mwenzenu anajiweza kwakweli kama namuona shangazi akiwa juu yake....hahaha mkristo ushike moyo 🀣🀣
Tatizo wengi hawaijui siri ya mchezo. Na mpaka nikiachana na mashangazi nitakuwa na experience ya kutosha ya namna nzuri ya kuzichakata πŸ˜…πŸ˜…
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Unaona kibabu chako kinaanza uchokozi?? Nikikichachua unalalamika ohhh muache ndo shemejio huyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Endelea kunichachua uone, sie wazee wa mjini hatuna aibu, shauri yako. Kwanza umesema upo na raia ya chugga, hivi kweli?...chugga?...wala miraa? Phew!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…