[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeshasema am soooo lucky ninapata kitu for freee ikiwa watu wengine wanautoa ela ndo wanapewa......
Na watoto nimepewa na mtaji nimepewa na Bado natunzwa...
Kuanzia Leo nitamuheshimu sana mume wangu....
Kumbe utamu watu wanalipia...nilikua namchukulia poa
Ananishangaza at the same time namuonea huruma,,hivi hakujua huyo jamaa anataka tu pesa zake kuanzia mwanzo WA mchezo?Bipolar yule,ndo shangaa na wewe.Yule ni mjinga.Kwanza hata kupulish transactions ambazo alikuwa anamtumia Bwana yake ni ujinga tu.Si alimtumia kiroho safi ?Kwa nini analalamika?Hilo la ushoga itakuwa anamsingizia tu.
Hawa ndio walivyo ni wabinafsi sana. Wee wala usiumize kichwa as long as kidume una hela basi nikusasambua mbususu zao maana uzuri wanaziletaga wenyewe 🤣🤣🤣🤣Ndio maana tuliambiwa tuishi nao Kwa akili usishangae mwanamke akakupenda coz unaprovide lakini wao hawanaga uvumilivu ukikosa au ukiwa huna hawezi kukupenda tena atakutafutia sababu tu
Hawa wadangaji wakati wa ujana wao wanakitombesha,wanakula raha na luxury mbalimbali.Ila sasa umri huwaga haumsubiri mtu, so wanaanza kuchuja wale madanga ambao wanategemea kuwaoa,wanahamia kwa mabinti wabichi.Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.
Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?
Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper
Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
Waongo sana pia wanajua sana kucheza na hisia mfano huyo anayesema hawezi kuhonga anaonekana janjajanja sana anajifanya kumpenda mumewe simple tu kwa sababu anaprovide ila ngoja jamaa alost utakuta hawamalizi hata miezi sita atamchoka mskajiHawa ndio walivyo ni wabinafsi sana. Wee wala usiumize kichwa as long as kidume una hela basi nikusasambua mbususu zao maana uzuri wanaziletaga wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kina Mange mko wengi kumbe🤣Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Hilo wala sio la kuuliza, ukifulia kidume ujue hamna chako, mie nilifulia nikaambiawa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni 🤣🤣🤣🤣🤣Waongo sana pia wanajua sana kucheza na hisia mfano huyo anayesema hawezi kuhonga anaonekana janjajanja sana anajifanya kumpenda mumewe simple tu kwa sababu anaprovide ila ngoja jamaa alost utakuta hawamalizi hata miezi sita atamchoka mskaji
Sawa Msaididizi WA Mungu...Waongo sana pia wanajua sana kucheza na hisia mfano huyo anayesema hawezi kuhonga anaonekana janjajanja sana anajifanya kumpenda mumewe simple tu kwa sababu anaprovide ila ngoja jamaa alost utakuta hawamalizi hata miezi sita atamchoka mskaji
Wabinafsi sana alafu wanataka 50/50, Sasa nusu kwa nusu inatokea wapi kama upande mmoja hautaki kuwajibika?Hilo wala sio la kuuliza, ukifulia kidume ujue hamna chako, mie nilifulia nikaambiawa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Popote panatoa povu hahahahaa mzabzab nakuelewa sanaHilo wala sio la kuuliza, ukifulia kidume ujue hamna chako, mie nilifulia nikaambiawa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa taarifa karibu 90% wanawake hususani wabongo hawezi kumvumilia mwanaume aliyefulia na huo ndio ukweli mchungu sijui labda wewe unaweza kua kwenye iyo 10% nayo Mimi binafsi nina mashakaSawa Msaididizi WA Mungu...
Maana naona unajua future za watu
Kwenye mapenzi wanasemaga usione mtu anamng’ang’ania mtu kuna mambo hayaelezeki sasa mbuta amekutana na hayo mambo yasio elezekaNamuonea huruma sana....na anavyojurekodi anaonekana katumia na Bado anampenda jamaa..
Umetumia lugha nyepesi kabisa kuelezea suala gumu kongoreKwenye mapenzi wanasemaga usione mtu anamng’ang’ania mtu kuna mambo hayaelezeki sasa mbuta amekutana na hayo mambo yasio elezeka
Mpaka kuombwa hela na mwanaume ujue unazo. Ukiona huombwi ina maanisha ni kapuku.Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
We think the same dearHapana ,some times akiwa na shida au nikiwa nimekwama kusaidiana ni sawa,ila sio tarehe 1 ninakupa paundi 1000,tarehe 5 the same, mind you that wewe haujawahi nipa hata mia.
Anaenda kinyume na mpango wa Mungu kuwa mwanaume ndio atatafutaSasa kwa nini mnamlaumu Mbuta Nanga?