Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k

Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,

Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
Hata awe na pesa kias gani hakuna mwanamke anayetaka kutumia pesa zake kwa mwanaume asiye na mapenz ya kweli.

Mbutananga naamini alitaka mwanaume wa kutulia nae wazeeke pamoja ila alichokosea ni kutojua kuwa wanaume wanaopenda kulelewa hawanaga mapenzi ya kweli.

Mim ninavyojua mwanaume akikupenda kweli hata kama umemzidi kipato anakua na swaga za masikin jeuri.Yuko radhi akakope kwa rafiki zake amalize shida zake kuliko kuomba mwanamke wake.Na akipata hela atahakikisha anatimiza jukumu lake la kukupatia na wewe kidogo na hii inampa jeuri ya kusimama kukufokea au hata kukuwasha vibao ukizingua.

Mimi na mwenza wangu wote tuna maisha yeti ila kaniapia kuwa hata apoteze kila kitu KAMWE haitokaa akinioa tuishi kwenye nyumba zangu.Akasisitiza kabisa kuwa hata ikibidi tutaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga cha msingi kodi analipa yeye.Anajua ninajimudu kwa kila kitu ila ananipaga hela na hajawahi hata kuonyesha dalili ya kutaka hata mia yangu.

Hii kiburi yake inafanya namuheshimu sana na hata akinifokea najua kidume kimefoka na sisubutu kujibu zaid ya kuomba msamaha.

Sasa leta swaga za kuniomba hela siku ujitiie mwanaume kunifokea uone kama sijakuchamba😬😆
 
Love don't cost a thing

Love don't cost a thing? Now who said that
Big pimpin' and ballin' who made it?
I'm in that new hummer with spinnin' wheels
And aww man, check out the grill!
Money, Gucci sandals, strip leather
I'm lookin for that ghetto Cinderella
Choppa call me up, it's off the heezy
Now we tag teamin' for sheezy.

 
Ni upuuuuzi WA kiwango Cha lami...eti for the sake of miuno eeee
Mbona Kuna watu wapambanaji na wanamiuno?
Yaani mbuta anavyolia as if alikua hajui kwamba huyo kamfatia pesa TU hapo.....
Na hili ndo tatizo kubwa hao marioo wanakua hawakupendi anakuja na side issues zake ana kasichana kale na mipango yake nje ya wewe na hapo ndo Kuna umiza zaidi
Mkuki kwa nguruwe, nyie mbona mnatupendeaga hela masai dada
 
Apewe apartment mjini full fanished bureee???
Yaani mwanaume mwenzako akavuje jasho akutunze buree?
Labda mna roho nzuri hivyo
Ila kama sio hivyo hicho kiti Cha range utakikalia upande
Range enyewe aliporwa Huddah ndo akapewa yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu huyo jamaa ni cheif designer.





Sent using Jamii Forums mobile app
Chief Desingner sasa hapo yanga si yupo km shem wa GSM, hujui kulikua na fukuto kati yake na takadini eti kisa shabiki wa lunyasi, Dimpoz akamuambia wachezee kina kamwe na priva, mie sio level zako, utahamaa wee kabla yangu.

Na mwanzoni walikua mabest, walio mchoma kabwilii si ndo hawa hawa. Eti kugombania urunguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom