Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba laki Mpenzi.Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Umetema mate vizuri unaweza kutema mengine hapo chini......?Katika biashara sijawahi na sitegemei kufanya ni hii ya kulea mwanaume ninaempa chiu, putuuuu
Sasa kama wewe mapato yako labda ni milioni 10 kwa mwezi na mwanaume wako mapato yake ni labda milioni moja.Hapana ,some times akiwa na shida au nikiwa nimekwama kusaidiana ni sawa,ila sio tarehe 1 ninakupa paundi 1000,tarehe 5 the same, mind you that wewe haujawahi nipa hata mia.
Swali zuri sana hili aisee ngoja nisubirie jibu.Ukipata mwanamume wa hivyo tarehe 1 kakupea paundi 1000 tarehe 5 the same utamwambia aache kukupea mapaundi mara kwa mara?
Ona sasa usivyo na aibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama asipokupa na unajua ana kipato cha kuweza kukupa hiyo pauni 5000 mara tatu kwa wiki. Je hautaulizia akupatie?!Nitapokea.Kama ananipa bila kumuomba.
Wewe ukimsaidia utapungukiwa nini kwani?! Kwani kuangalia bunge ni dhambi ya umauti?!Humu JF mwanaume anakufuata DM eti anaomba hela,hapo anakuambia yupo ndani kwake anaangalia bunge.Kweli mwanaume unashinda ndani kuangalia bunge?Si bora utoke nje ukabebe hata zege jamani.
Sasa mwenzako hajala na amekwambia unashindwa msaidia kweli?Mtu anaomba elfu 10 eti hajala,kweli Bongo imekuwa ngumu namna hii?
Me nahisi demu kaamua kumchafua mwamba. Mtu anakuwaje na show kali halafu bado shouger.Sasa ilikuwaje shoga akawa anasimamia UKUCHA mpaka akawa anamuhonga? Hapo amemchafua kisa amekimbiwa tu.
Dar huwa kuna vituko sana.Yaani nilibaki mdomo wazi,kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +?Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana,alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.View attachment 2648386
Hivi wanawake mnaposema "Mwanaume anaye jituma" mtu anajituma kwenda wapi na je kujituma kunahusiana nini na kuwapo nae kwenye mahusiano?! [emoji23][emoji23]Hapana mi sitaki 50/50 kwenye swala la mwanaume asietaka kujituma
PutuuuuuUmetema mate vizuri unaweza kutema mengine hapo chini......?
Tema basi.
Mmmmmmhmn huu mtego sio bure. Sasa ina maana unazungumzia wanawake ambao age imeenda kuwanunua vijana wadogo, huyo kijana atakaa na wewe miaka yote na amekuja kutafuta masilahi yake kwako?!Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k
Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,
Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume akishazoea kulelewa, akiacha kulelewa na majimama, anahamia kwa majibaba.Ndiooo hudda aliipakaga pink colour....
Looh wanaume watafute pesa zao jaman
Hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahhahaha eti club yangu hatari sana
Sasa wewe na wewe kwann unakuwa na ghubu hivi unataka mtoto wa mwenzako achafuke ili iweje, hebu uwe na huruma.Wanajiendekeza balaaa ....hapa hatureveal majina ya watu...
Ila ogopa sana mwanaume anavaa soksi nyeupe na kobasi....hataki kuchafuka
But i need to look good for you beib[emoji23][emoji23][emoji23] just let me be that sweet chocolate candy bar on a bed for you. [emoji23][emoji23][emoji23]Kama unajichanga hazitimii tupo wote baby...
Ila unaamka unaenda gym...unarudi unapiga chai nzito unarudi kulalA unasubiri nije na groceries to feed ur ass's..
.am soleeeeee Naita polisi nikikuona