Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ndio maana tuliambiwa tuishi nao Kwa akili usishangae mwanamke akakupenda coz unaprovide lakini wao hawanaga uvumilivu ukikosa au ukiwa huna hawezi kukupenda tena atakutafutia sababu tu
Unatakiwa ukiprovide na yeye ajutie kupewa vya bure. Yaani ukitaka mchezo hamna story za sijui leo anaumwa sijui nini ni gemu gemu. Akisema hataki sijui nini unamzingua. Unaenda kutomba nje akilalamika unamwambia unataka nifanyeje sasa nakupa kila unachotaka unanipangia cha kupata kwako ndio maana nagonga hadi rafiki zako.

Hivi ndio wanawake wanatufundisha namna ya kuishi nao. Tukiishi nap kistaarabu na kwa mapenzi wanatuchukia.
 
Hawa wadangaji wakati wa ujana wao wanakitomhesha,wanakula raha na luxury mbalimbali.Ila sasa umri huwaga haumsubiri mtu, so wanaanza kuchuja wale madanga ambao wanategemea kuwaoa,wanahamia kwa mabinti wabichi.

Baada ya hapo wanacho kuja kugundua kwamba vyote walivyo vipigania ni batili na furaha ya kweli ipo kwenye ndoa. Sasa ndio wanaanza kuigiza kutulia ila still watu wanapiga wanatambaa,so anaamua kukitafuta kimarioo cha kukilea.

Hata hawa wadangaji wanao trend sasa mwisho wao utakuwa kama wa hao ulio wataja.
Hii ni point nzito sana.
 
Mkuki kwa nguruwe, nyie mbona mnatupendeaga hela masai dada
Kwa hiki kizazi cha wanaume wa sasa hawa wanawake watajifunza kwa gharama sana. Maana wanaishi na sisi kwa akili ya kwamba tunalingana na babu na baba zetu.

Kizazo cha wanaume wanaohoji na kuwajibisha unaanzaje kukiletea ushubwada wa Hela za mwanamke ni zake za mwanaume ni za wote. Watajuta aisee. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatakiwa ukiprovide na yeye ajutie kupewa vya bure. Yaani ukitaka mchezo hamna story za sijui leo anaumwa sijui nini ni gemu gemu. Akisema hataki sijui nini unamzingua. Unaenda kutomba nje akilalamika unamwambia unataka nifanyeje sasa nakupa kila unachotaka unanipangia cha kupata kwako ndio maana nagonga hadi rafiki zako.

Hivi ndio wanawake wanatufundisha namna ya kuishi nao. Tukiishi nap kistaarabu na kwa mapenzi wanatuchukia.
Mzee umenyooka kama ruler, ni kweli ndio maana wanawake siku izi wanatumika sana wengine mpaka kudhalilika sana ikiwemo kutolewa marinda kwa kutanguliza zaidi material things na fans life wakati wao ungaunga tu hawana cha kuoffer zaidi ya sex. Ogopa sana msichana mdogo anakua na wish lists kwa mwanaume anayemtaka
20230522_112121.jpg
 
Mzee umenyooka kama ruler, ni kweli ndio maana wanawake siku izi wanatumika sana wengine mpaka kudhalilika sana ikiwemo kutolewa marinda kwa kutanguliza zaidi material things na fans life wakati wao ungaunga tu hawana cha kuoffer zaidi ya sex. Ogopa sana msichana mdogo anakua na wish lists kwa mwanaume anayemtakaView attachment 2649029
Tutanyooshana tu ni swala la muda.
 
Mmmmmmhmn huu mtego sio bure. Sasa ina maana unazungumzia wanawake ambao age imeenda kuwanunua vijana wadogo, huyo kijana atakaa na wewe miaka yote na amekuja kutafuta masilahi yake kwako?!

Halafu unahisi mwanamke wa miaka 40+ hata maumbile yake yanamruhusu kumdatisha kijana wa miaka below 40?

Huu ni upotezaji muda na kujidhalilisha ingekuwa ni hivyo basi wanawake wote including mama zetu wangekuwa wanatoka na vijana wadogo wa rika lisilo lao.

Halafu ni kujidhalilisha kwa mwanamke kumkalia utupu kijana rika la mdogo wako, mpwa wako au mtoto wako.
Ishi maisha yako hii filosofi itakusaidia sana katika Uhai wako,
Ukiwa busy kuchungua ya wengine utajikuta miaka 70 imefika unamiliki mvi tu na visukari.
 
Hamna maali nimesema Nina maisha ya maana,wala Nina unga unga...rudia kusoma uzi
Ukiwa na hela unaona ni matumizi ya kawaida tu, mfano mimi binafsi kitu sipendi ni kuhonga mwanamke ila ukisikiliza wenye hela kina vunjabei kutwa kututaka tuhonge na kabla hawajazipata hawakuyasema hayo.

Nikagundua walikua masikini, kumbe hata mimi ni umasikini tu nikizipata nahonga.

Kuna level ya maisha ukifikia kutoa kitu fulani ni kawaida tu ila asiye nazo atakushangaa
 
Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Hahahah siku ukipenda vizuri utashangaa tu hela unatoa na wala hujiskii vibaya. Its in the same manner mwanaume anakujaza mapesa unconditionally. Wala hamna cha kushangaa.
 
Ukiwa na hela unaona ni matumizi ya kawaida tu, mfano mimi binafsi kitu sipendi ni kuhonga mwanamke ila ukisikiliza wenye hela kina vunjabei kutwa kututaka tuhonge na kabla hawajazipata hawakuyasema hayo.

Nikagundua walikua masikini, kumbe hata mimi ni umasikini tu nikizipata nahonga.

Kuna level ya maisha ukifikia kutoa kitu fulani ni kawaida tu ila asiye nazo atakushangaa
Na huu ndio ukweli wenyewe. Ukishafikia level ya maisha ambayo umejitosheleza kiasi kwamba una ziada ndio kuhonga huwa kunakuwa ni swala la kugusa tu. Kwa ambao bado mahitaji yanakupiga chenga hujatimiza malengo ni ngumu kufanya huo mchezo wa kuhonga honga. Ndio maana wastaafu wengi na washua ma boss ndio wahongaji wazuri kuliko vijana wanaojitafuta.
 
Hahahah siku ukipenda vizuri utashangaa tu hela unatoa na wala hujiskii vibaya. Its in the same manner mwanaume anakujaza mapesa unconditionally. Wala hamna cha kushangaa.
Halafu sidhani kama mwanaume anaomba direct kama mwanamke, mwanaume anaomba kimkakati[emoji28]mwanaume anayeomba direct awekewe question mark
 
Ni mambo ya 50/50 wanawake wenzetu wakishika pesa wanaona wana hakimiliki ya kushika nafasi ya wanaume
Kama huna hela ya kumwaga lazma utaona wanawake wenzio kama wendawazimu. Huyo anaetuma pound 1000 kila week jua ana ziada ya kumtosha mno kwa account.
 
Halafu sidhani kama mwanaume anaomba direct kama mwanamke, mwanaume anaomba kimkakati[emoji28]mwanaume anayeomba direct awekewe question mark
Huwa hatuombi ila mwanamke akikupenda kiukweli na anajua hali yako huwa ana huruma sana na anapenda kuona unafuraha. Kama mjuavyo tatizo la dunia ya 3 ni ukata. Desturi ya dunia ya kwanza ni kutupa grants tu.
 
Waongo sana pia wanajua sana kucheza na hisia mfano huyo anayesema hawezi kuhonga anaonekana janjajanja sana anajifanya kumpenda mumewe simple tu kwa sababu anaprovide ila ngoja jamaa alost utakuta hawamalizi hata miezi sita atamchoka mskaji
Anachopenda ni huduma tu hakuna la maana. Wanawake wengi wabinafsi hawezi kuruhusu ukala hela yake kama umeishiwa ataanza visa tu ili muachane. 🤣
 
Back
Top Bottom