Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Mwanaume atakayekula hela yangu ni ambae amekua akinisaidia kifedha kisha itokee mambo yake yaende vibaya.
Sio umetoka huko na sharubu zako ulete swaga za mim kukulea.

Kusaidiana imo ila kiasili mwanaume ndo anatakiwa awe muhudumiaji.

Hata mwanamke uwe tajiri vipi ila mwanaume wako akikupa hata buku kuna karaha fulani wanawake tunapata.

Hivi mwanaume anaweza kweli kusimama kiume akamfokea mwanamke anayemlea?

Bora kulea yatima kuliko kulea dume lenye nguvu kuliko mimi.
Hahahah we ni wa kuogopwa kumbe
 
Kuna Ile mwanaume anapambana ila mambo hayakai sawa....na unakuta tayari mnaishi pamoja au kitu kama hicho....
Ila Kuna wale kazi Yao kuvaa kobas za mpira na soksi nyeupe aaaaa maisha nikimuona naita polisi
Bora yako umesema ukweli mtupu, muda mwingine tunatingwa balaa unakaza wee kwenye maisha lakini mambo hayaendi..
 
Hata niwe na hela kiasi gani siwezi kumwaga hela kwa mwanaume wakati sex toys zipo
Haujakunwa vizuri wewe hizo toys haziwezi kuwa kama kitu halisi umeshawahi kuchezea dudu mpaka koo linakauka unaomba maji ua unazima kabisa ukitoka hapo unamwangalia mjomba aliyekushughulikia unabaki na aibu za kike zile
 
Mwanaume atakayekula hela yangu ni ambae amekua akinisaidia kifedha kisha itokee mambo yake yaende vibaya.
Sio umetoka huko na sharubu zako ulete swaga za mim kukulea.

Kusaidiana imo ila kiasili mwanaume ndo anatakiwa awe muhudumiaji.

Hata mwanamke uwe tajiri vipi ila mwanaume wako akikupa hata buku kuna karaha fulani wanawake tunapata.

Hivi mwanaume anaweza kweli kusimama kiume akamfokea mwanamke anayemlea?

Bora kulea yatima kuliko kulea dume lenye nguvu kuliko mimi.
Mdogo wangu si uliaga 😅😅
 
Kamwe nikiwa hapa duniani haitotokea kilashare one bed na kitoto cha kiume ninachokizidi umri labda kwa sharti moja tu.

Sauti itoke mbinguni ilinitaka nilala na kitoto ninacho kizidi umri baba yangu afufuke hapo nitatembea kwa magoti nikitafute mimi mwenyewe.

Hata hivyo ni ngumu mwanaume awe mkubwa kula pesa yangu.kama nina mpenda basi namnunulia zawadi tu pesa yangu noooooooo!
 
Back
Top Bottom