Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Inawezekana Bishanga, but inategemea na makubaliano yenu ya awali i mean alikuahidi nini na alikupa matumaini gani kuhusu ndoa. Hata hvyo nimejifunza, ndoa kwangu siyo ishu tena. Natafuta chapaa i mean pesa. Kwenye moyo wangu haku nafasi tena kwa kiumbe ME. wAMENITENDA
Koku,
Hebu soma ushauri/maoni ya Mama Tuli....
Hakuna mwanamume hata mmoja atakueleza ukweli wake katika hatua za awali...Jitihada zake zote zinaelekezwa kwenye kushusha kiroba walau hata nusu...Ukikubali kirahisi basi pole sana...Ila pia ukijua jinsi ya kucheza game basi utaweza kufikia malengo yako ya kugawa tunda baanda ya kujua mwisho wa safari yako...Vinginevyo utaendelea kuwa gari la majaribio!!