Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Mmhhh hapa umenipa utata. Sasa huoni kwamba ww ndo utakua chanzo cha tatizo na sio yeye???!! Kwa maneno yako hapo ina maana kuna vitu ulikua unafanya ikapelekea jamaa kuchelewa kuomba tunda na on top of that alipoliomba lile tunda ukachelewa sana kumpa......ili yy akapewe na nani,dada yake??? Mm naona haukua tayari na commitment ni bora ungetuliza ball tu mpaka kichwa yako iwe tayari kutoa dudu lol

Mama unanioneaa.
Sikuwa na maana mbaya, na nilikuwa na commitment ya hali ya juu, hta yeye analijua hilo.
Siyo siri tulifurahiana sana, na kika mtu alikuwa mtaalam kweli kweli ktk ishu. Labda ndo mana nikawa blind totally ndo maana mwisho wa siku ikala kwangu.
Damn hiim
 
nilipoliona tu kwa mara ya kwanza nikasema mmh....huyu kweli lazima ana sifa hizo walau kwa mtizamo wa jamii kiasi cha kujiita ivo. Ina maana YU, Yolanda,Rays, Ashanti n, hujawau kutumia?

Sijawahi, mimi nikinawa na kuoga tu basi inatosha.....,nywele nazo nanyoa ... niko natural kwa kweli! so by nature mie mrembo tu,
 
Vinauma saaana. All in all nimewaelewa i will try my level best to empty my brain na content zote zimuhusuzo. So that i can start a fresh.

Najipa muda kuheal my broken heart na pengine kujipanga upya. Sitaki kuingia ktk mahusia no mapya ghafla ghafla, nina woga bado. Ushauri wenu nimeupokea i will work on it.
God is great, he will give mwenye maana kwa wakati wake.
Unajua sisi wakina dada tukipenda tunapenda kweli, na huwa tunamaanisha, most of us. Mars nyingi mapenzi yetu kwe wenzi wetu yanakuwaga ya kweli na si unafiki. Hujitoa kwa moyo na kutoa mapenzi ya kweli na si ya kuigiza. Na wengi wafanyao hivyo huishia kutendwa.
Hata hvyo thread imenipa somo, men are hunters, wakipata mnyama wakishamega wakla na kumaliza utamu woote, wanahamia pori lingine. I seeeeeeeeeee


Koku,

Sasa unaanza kuongea kama mdada na si mtoto...Actuallly, unakariibia umama....Yaani unaanza kuelewa kwa nini wanaoapa kutorudi labour room, wanasahau baada ya wk moja na kurudi huko wengine ndani ya mwaka mmoja tu!!

Sumu ya haya mambo ni kujidai kuyabeba moyoni peke yako...Kizuri na hata kibaya kula na wenzio...ndipo unapogundua kuwa kumbe chako ni kitamu sana kuliko ulivyodhani.....

Karibu tena kwenye dunia ya MMU!! Ila kila unapokutana na hunter....basi kumbuka yote tuliyoyaongea leo....That way...utakuwa salama!!

Babu DC!!
 
Mama unanioneaa.
Sikuwa na maana mbaya, na nilikuwa na commitment ya hali ya juu, hta yeye analijua hilo.
Siyo siri tulifurahiana sana, na kika mtu alikuwa mtaalam kweli kweli ktk ishu. Labda ndo mana nikawa blind totally ndo maana mwisho wa siku ikala kwangu.
Damn hiim

Sasa wewe Koku unaanza kumshangaza Babu...

Kama kweli ulipata dozi na shea ya kutosha....kwa nini sasa unajiona kama wewe ndiye uliyepata hasara baada ya kufunga biashara???

Kama hayo ni kweli...basi unahitaji ka ujuzi kidogo tu ili umrushe roho jamaa halafu uone...

Sitashangaa siku moja ukija kuomba ushauri baada ya njema kuja na nyimbo za baby come back....


Hebu jaribu kupitia thread za huko nyuma...zitakupa maujuzi ya kutosha!!

Babu DC!!
 
Ni ile ile mpendwa wangu labda network ilikuwa inazingua! Mengi yameshaongelewa, na ulichokiandika hapo ni kweli kabisa!!! Kuna watu wanasema mapenzi hayana fomulae(fine).........ila mapenzi yasimfanye mtu kuwa mpumbavu au mzembe kiasi cha kushindwa kusoma hata alama za nyakati ilihali dalili zote zinaonekana kabisa! Kwa mdada makini na mwenye determination na future yake lazima awe makini na achukue tahadhali sio kila siku ni kutoa tunda alafu mwenzako anapotea.....then anarudi tena kwa ajili ya tunda, sasa hapo utahesabu una mtarajiwa kweli??? Mpenzi anakutishia kukuacha kwa sababu hujampa tunda, basi kwa kutofikiri nawe unatoa eti unahofia kukimbiwa.......does it make sense kweli??? Kila siku unayoenda kumtembelea wewe ni wakupelekwa gest tu au kwenye geto la wenzake, jiulize huko kwake kunani??? Lol......uandishi wangu wa mwanzo usikustue sana, ni kweli......today am not feeling well my dear!!

hivi kwa nini hii kitu imekuwa commodified kiasi hiki? hebu mniambie?
 
Ni kweli kabisa unachosema. Na sidhani kama hata kuna ambao wameelewa nilichoandika. Licha ya hivyo, ndoa ni partnership. Inahusisha watu wawili katika hali na mazingira yote - shida na raha, milima na mabonde, road bumps, na kadhalika.

Ni imani yangu kuwa ushirikiano unaimarisha ndoa (mahusiano). Ushirikiano unaifanya ndoa iwe na upendo. Kwa hiyo hii dhana ya kwamba mwanaume ndiyo mtoaji na mwanamke ndiyo mpokeaji mimi naikataa kabisa. Imepitwa na wakati.

Lakini kwa vile ndoa huhusisha watu wawili (yeah, wakati mwingine zaidi ya wawili), I am all for couples defining their own roles in their own marriage/ relationship. Imposing my values on others is just not my shtick.

Au wewe unaonaje kaka? Nimepotoka?


Hivi kwa nini wanakufungia(ga) wakati michango kama hii inahitajika sana?
 
Nimekuelewa Dark. Hata hivyo i will never never fall in love again. NEVER. So I will never bi the victim of hunters as you people call them.
I learned my lesson.
Koku,acha kuapiza,kuna watu wanajua kutongoza aisee,yaani akikulia dip ya nyuma yote unayasahu.
 
Ni kweli kabisa HUS... Yamenikuta hayoo. Kuja kujua mshkaji hakuwa kweli serious kuwa na future na mimi nilikuwa too late. Ilinipain sana, sbbu nilikuwa nimejitoa kiukweli na alikuwa na ananipa matumaini chanya. Leo nimesoma hii thread no nimetafakarii na nimegundua kuna ukweli kabisa, na yaliyonitokea ni kweli yanaendana na idea yako.
Kwa wanaume msio wakwwli kwa wapenzi wenu, please at the beggining of mahusiano yenu, ni vema ukawa muwazi kabisaaa on what kind of relation unahtaji kwa hyo mpenzi wako. i.e wakuzugia, short time, long term friendship without marriage, mchumba na baadae awe mke e.tc. Mnatuuumizaga sana psychologically.

mimi nimekuwa nikilisema hili several times hapa, sijui ni mgeni kiasi gani lakini hili limeshazungumzzwa na hapa naunga tena mkono kwamba its of paramount importance that you define and set clear your objectives in any relationship....hivyo utaepusha mengi
 
Koku mdogo wangu tema mate chini na umwambie Mungu wako ni hasira ndio imekupelekea kutoa maneno yote ya hasira ila kikubwa ni kuwa unamuachia yeye Muumba akupatie yule anaestahili penzi lako na wewe ukalifaidi penzi lake. Hicho kidudu mtu kimoja kisikufanye ukose kuona raha ya mapenzi banaaa.....wakati ww unaongea haya mwenzio anachekelea kuwa amekuweza!hapana kumpa hilo bichwa aiseee ntakuchapa!
yaani Koku asingekuwa mhaya mwenzangu ningemwambia ani beep,lakini da!
 
Mmhhh hapa umenipa utata. Sasa huoni kwamba ww ndo utakua chanzo cha tatizo na sio yeye???!! Kwa maneno yako hapo ina maana kuna vitu ulikua unafanya ikapelekea jamaa kuchelewa kuomba tunda na on top of that alipoliomba lile tunda ukachelewa sana kumpa......ili yy akapewe na nani,dada yake??? Mm naona haukua tayari na commitment ni bora ungetuliza ball tu mpaka kichwa yako iwe tayari kutoa dudu lol
kwa hiyo ukitongozwa unatakiwa utoe mzigo fasta fasta sio?
 
Hii dunia....we acha tu,

Halafu ukiingiza na haya maisha ya maigizo ambayo vijana walishwa kila dakika kutokea kila pembe inakuwa kazi kweli kweli....Yaani kuwa mzazi sasa hivi ni pasua kichwa na especially kwa hawa teen!!
mkuu DC,i have teenegers,boys n girls,true kabisa Mkuu,ni pasua kichwa,vichwa vyao ndo serikali zao!
 
Tatizo madogo wengine wameingia kichwa kichwa hadi wanataka kupiga bao waanzilishi wa huo utandawizi!!

Juzi kamoja kamenipigia simu nilipokaamibia kuwa kamekosea namba kakadai ninaongea kama ndugu yake!!

Ndio nikakaambia kuwa kaache upuuzi..Yaani vinataka kuwabaka babu zao!!


Babu DC
babu bana,na we unazeeka vibaya sasa,yaani ukakaacha hivi hivi? Mi huwa sibakishi kitu,nakula mpaka ukoko,you live only once Mkuu.
 
Yani nimechoka, kila penye story ya mapenzi hapakosekani mwanamke anayelalamika kutendwa na mwanaume.....why?? mbona wanaume wanakuwa watu wa ajabu hivi siku hizi?

Lingine, kumpata mwaname au mwanammke mwenye kufanya yale yooote yauridhishayo moyo wako au yanayotakiwa ni vigumu kwani hakuna malaika.......mwingine kwenye communication yuko vizuri lakini kwenye idara ya matunzo yuko weak, mwingine anajua mambo flani lakin upande mwingine ni mkoko hata ch....pi hawez nunua......

Ndo maana nimeamua rasmi kuwa na kidumu ili hata la kutokea likitokea nisiumie sana nipozwe na kidumu mie.........nimekoma kuumwaga moyo wangu wote kwenye mawe uungue jua (kwa mtu ambae hatauthamini)!! Kidumu lazima niwe nacho.....
nakupendeaga hicho Mrembo,your honesty,sasa ka vipi hako kadumu kakiku put off nishtue kwa PM ,i don't mind filling the shoes,no strings attached just kubembea.
 
Unajua Dark, kama kitu kimeandikwa kimeandikwa tu, so katika vidumu vitatu ntakavyokuwa navyo sidhani kama atakosekana mmoja atakaekuwa ananipenda kwa dhati na kuwa na future na mimi.

kama ambavyo men wanacheat na kuwa na vidumu vitatu au zaidi mheshimiwa Dark huoni kwamba sasa ni wakati muafaka kwa wanawake nao kuwa na mfumo huo huo wa kuwa na madumu au ndoo pembeni ili ikitokea ndoo au dumu moja linatoboka zilizobaki ziendelee kutumika?

i fully support you,ndo maana nime apply rasmi kuwa ka ndoo kako numero 4!
 
Back
Top Bottom