KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,104
Mmhhh hapa umenipa utata. Sasa huoni kwamba ww ndo utakua chanzo cha tatizo na sio yeye???!! Kwa maneno yako hapo ina maana kuna vitu ulikua unafanya ikapelekea jamaa kuchelewa kuomba tunda na on top of that alipoliomba lile tunda ukachelewa sana kumpa......ili yy akapewe na nani,dada yake??? Mm naona haukua tayari na commitment ni bora ungetuliza ball tu mpaka kichwa yako iwe tayari kutoa dudu lol
Mama unanioneaa.
Sikuwa na maana mbaya, na nilikuwa na commitment ya hali ya juu, hta yeye analijua hilo.
Siyo siri tulifurahiana sana, na kika mtu alikuwa mtaalam kweli kweli ktk ishu. Labda ndo mana nikawa blind totally ndo maana mwisho wa siku ikala kwangu.
Damn hiim