Ahsante mkuu.. ila naona wengi wadada hawawezi vumilia taabuDuh, mkuu huu ujumbe ni mzuri sana lakini kumbuka masuala ya ngono hufanyika hata bila malengo ya kupata kazi, mitaani wanafunzi kwa wahitimu wanagongwa na vijana pamoja na wazee, kwa mantiki hii mimi naona wadada kwa wakaka waache kufanya ngono kabisa kabla ya kuoa au kuolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahalalisha ubaya kwa ubaya mkuuKwangu mimi dada zangu gaweni tu!!halafu unamnyima HR unaliwa bure na boda boda!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikopi mtumie wasap mkuu..Maisha hayo ukitegemea ajira wafwaa.. ukizingatia wao wamegubikwa na aibuKama watakuelewa umeandika kitu kizuri sana kuna mtu nilitamani asome kila siku ananisumbua nimtafutie kazi mimi tu kazi sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawaelewi haya mambo..washaona ni kitu cha kawaida. Huko viwandani watu wanatumiwa saba sana na kazi hawapatiNashangaa wanawake wanaounga mkono mtu kutoa uchi ili kupata kazi. Lakini nawashangaa zaidi wanaume wanaounga mkono huu ujinga.
Hivi tutakuwa wababa wa aina gani kwa mabinti zetu kama swala dogo kama hili tu tunashindwa kusimamia kwenye maadili.
Competency is a rare commmodity. Kwenye dunia hii ya ushindani, pambana upate skills zitakokusaidia kukufanya ustand-up kwenye crowd ya waomba kazi wengine.
Lakini haya mambo ya kutoa uchi, utatoa hadi kupata promotion kazini, utatoa kupata ada za watoto, utatoa kulipa vicoba.
Kwa hiyo hakuna Upendo wa dhati.Kusema kweli hakuna watu wanaofanya mapenzi bila kuwepo na design flani ya kutaka "favour" flani. Hata walioko ndoani.
Wengi wanategemea kile kitendo kama investment fulani hivyo in the end wanategema ROI. Au kama walishapata favours basi inakua ni kama ku pay back favours.
Trust me.
They don't need to! What you wrote, worths tons to those who worth themselves!Mods can you do me a favour.?
Please delete this Mess
Sijui hiyo ni ndoa ya aina gani, tendo lenyewe linaitwa la ndoa, unapolifanya kabla ni ngono. Kiuhalisia mambo ni kinyume, ila haitakiwi lifanywe mkiwa nje ya ndoa, iwe ni ahadi ya kuolewa au la.Eti ukiahidiwa ndoa ukatoa hakuna shida, ila ukiahidiwa kazi ukatoa hilo ni tatizo!!! Hivi kwanini tunapenda kuchagua dhambi, kwamba zinazotufavour ni dhambi ila kinyume chake sio!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwenye ndoa tu sometimes mnapewa sababu ya kutaka favour fulani sembuse uahidiwe maisha!!
Hebu tuwe serious kidogo.
Hawajui thamani yao hawa wanawake labda...ndio maana wanajidharauThey don't need to! What you wrote, worths tons to those who worth themselves!
Sent using Jamii Forums mobile app