Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

Kufanya mapenzi kwa sababu ya hela, kazi, au certain favor sio sahihi.
Kusema kweli hakuna watu wanaofanya mapenzi bila kuwepo na design flani ya kutaka "favour" flani. Hata walioko ndoani.

Wengi wanategemea kile kitendo kama investment fulani hivyo in the end wanategema ROI. Au kama walishapata favours basi inakua ni kama ku pay back favours.

Trust me.
 
Kusema kweli hakuna watu wanaofanya mapenzi bila kuwepo na design flani ya kutaka "favour" flani. Hata walioko ndoani.

Wengi wanategemea kile kitendo kama investment fulani hiyo in the end wanategema ROI. Au kama walishapata favours basi inakua ni kama ku pay back favours.

Trust me.
Yeah, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Sema kufanya mapenzi ili kupata kazi au kupewa hela ni extreme.
 
Kuliko kiwabia wawe wavumilivu na maswala ya Umungu Mungu sijui mi naona ni heri ungekuja na solution ya moja kwa moja!,tiba ni kutibu tatizo ni ama litengwe fungu la kuwasaidia au wao wenyewe kusaidiana hii italeta heshima sana.. kuwaambia kuvumilia shida huo ni mkwara tena mkwara mbuzi!!
Mkuu maisha ya kuandika kuwa maisha ni magumu sio yale halisi kabisa!!
Maisha yanamtwanga mtu kiasi anaona uchi wake si thamani!! Hata hivyo kuna wengine uchi huo umewasaidia wanamaisha mazuri!!
Sitetei ati wafanye ila najaribu kukuonyesha kuwa ktk maisha hakuna kitu kinaitwa kukariri!!
Njaa ni njaa tu kama Kuna njaa lazima watashusha sketi cha kuwasaidia ni kuua hiyo njaa ili hata wakiombwa watoe kwa hiari yao na sio shinikizo la shida!
I think watu wamekariri sijui kuwa mabosi wooote watu wabaya na wana ngoma
Wengine mbona watu wazuri tu..it depends unakutana na nani

Uzi mzima thamani thamaniii....fanya hio thamani ikulishe basi😅

Kaandika ukweli mtupu ila the right things are always difficult!
Na haviku'guarantee kutoka!!
 
Mi nina swali moja kwa wadada ati maneno haya ya huyu jamaa yanashusha ugumu wa maisha..?
Hayashushi...
In life u need to mix both right and wrong things
Komaa na right utoke karne ijayo!!
 
Kusema kweli hakuna watu wanaofanya mapenzi bila kuwepo na design flani ya kutaka "favour" flani. Hata walioko ndoani.

Wengi wanategemea kile kitendo kama investment fulani hivyo in the end wanategema ROI. Au kama walishapata favours basi inakua ni kama ku pay back favours.

Trust me.
Hata dhumuni langu likiwa ni kupata utamu na raha tuu ndio "favour " yenyewe?
 
Mods can you do me a favour.?
Please delete this Mess
 
Back
Top Bottom