Niliyezaa naye ni mwingine. Huyu nilimpata baada ya kuzinguana na huyo mzazi mwenzangu, si ndio maana nahisi ni bad karma kutoka kwa mama mtoto maana sijapata tena mwanamke wa kueleweka.
My one last move kumrudisha kwangu ni kama imefail kabla hata sijaanza kuitekeleza maana ana jamaa yake wako siriaz wanaoana. Na mimi naona Mungu ameanza kunilegezea kamba kiaina
Kiboko yangu. Baada ya harusi yao nilituma zawadi ya tv aliyonirudishia. Atajua mwenyewe kama aliigawa au wanaitumia
We bwana matata sana, yaani hukupata kitu kipya mpaka utoe hiyo kama zawadi.
Kumkumbusha mwenzio ya kale!, au makusudi ya kutaka awe anakumbuka.
Nilikuwa namaliza bifu ili chochote kibaya atakachokifanya awe mjinga yeye. Bila shaka wameiweka hata jikoni wanaiangalia
Shukrani sana mkuuMmh haya kila la kheri na Benny, sie twasubiria tu kadi sasa
Kama unamaanisha kweli komaaa uchukue mtoto huyo jumla jumla mkuu, hutajuta kabisa ni wife material huyoShukrani sana mkuu
Mambo yakiiva
Kila mmoja atapata habari
Naona huyu Lusajo11 anawapa moyo......Heaven Sent halafu huyu RRONDO alikuwa anasema nini hapa. Kwamba ubaki tu unaumia hata kama mtu hana mpango na wewe kwa kuogopa nini?!
Yani niliwish kama angefunguka zaidi, maan statement yake imenipa tafsiri nyingi kichwani. Like maybe everytime people "lose you" kwa sababu una kitu kinachowa-push away ......
Huwa napenda sana kuweka watu njia panda....good thinking, was about to start dropping lines on him.
Kama unamaanisha kweli komaaa uchukue mtoto huyo jumla jumla mkuu, hutajuta kabisa ni wife material huyo
Huwa napenda sana kuweka watu njia panda.
Naona huyu Lusajo11 anawapa moyo......
Khaaaaaaaaaaaaaaaa! !!! (Pale kaka anapompigia debe dada aolewe Hahaha)Kama unamaanisha kweli komaaa uchukue mtoto huyo jumla jumla mkuu, hutajuta kabisa ni wife material huyo
Umelike nini? [emoji39] [emoji39]Kui likes this..
Hivyo eeh, leo kuwa mpole basi utuweke njia kati. Ulimaanisha nini?Huwa napenda sana kuweka watu njia panda.
Hahaha yani mtu anakuwa msumbufu hadi kwenye maandishi?Tena njia panda ya mataa, lakini unaonekana wa kusumbua sana wewe..
...ngoja ya kukute. Lusajo ametupa moyo sana tu, huyo dada is a woman with the S on her chest. Kudos to her.
Braza uko poa?! Msalimie shemeji na watoto....Kama unamaanisha kweli komaaa uchukue mtoto huyo jumla jumla mkuu, hutajuta kabisa ni wife material huyo
Aah Ndo unazuga ili usiidefine ile statement yako?Nimeshajichanganya hivi hii thread ni ya vibuti au usiku mnalala na nini? Wewe ni No. 8 Woman au? kui na wewe unalala na truck suit au?
Ipi hio nimeandika vingi my dear.Aah Ndo unazuga ili usiidefine ile statement yako?
Hiyo statement...If they 'lose you' everytime........................oooops!
awwww leo umekuwa msweet...Ipi hio nimeandika vingi my dear.
If they lose you.........UNKNOWINGLY you lose them coz its a two way thing.Hiyo statement...
awwww leo umekuwa msweet...