Ladies, what do you wear in bed?

Ladies, what do you wear in bed?

Hahaha wanadumbukiza tu mwenzangu. Huo ufilipino unakuwepo zaidi huku kwenye urafiki sugu, ikifika kwenye ndoa baada ya miaka mmh, anapita tu shaaaa

(haha kui you bring out the worst in me lol)
Huh huh..natetemeka...
 
yaani hapa mahari sifuri zinapukutika tu, nimuondoe mapema kabla haijafikia buku
Keshaugusa mtima wangu, nahisi ndiye nilokuwa nikimgojea miaka yote hii, mruhusu nimpeleke Mwanza, naona ananyota na wasukuma.
 
we mfilipino hebu ondoka kwanza maana hapa nimezimia, huyu mwanangu umemfanyaje?? maana hata siamini majicho yangu.
Hahah...mzaa chema
unajua vile nakuheshimu naondoka sasa
Heaven wangu hajabadilika
utamuelewa taratibu tuu byee!
 
Kuhangaika tena? angalia maneno yako yasije muharibu Heaven Sent, umeona wapi ulimwenguni Rais akapiga kampeni?

Really, so Rais hapigi campaign!

Inabidi kuwe na changamoto fulani ili akili ichangamke na 'mwili ufanye kazi vizuri'
Ukipata urahisi kila siku mazoea mabaya.
 
Bro ulishawahi
kupigwa na
wananchi
wenye hasira kali?
Hahaha...ameshachoka ya kudumbukiziwa tu siku zimekuwa nyingi, wakati we unawekapo tu mkono unasinzia wengine tunalilia nafasi japo tu ya kuongea nae na kushake hands...basi mwambie aje please atoto.
 
heaven ashavurugwa na za shaaaa za Benny unadhani hata atakuelewa!! ila kulala without kabisa hapana aisee!

Eti kurukiana! 😀

Mi ndo nasema he has to struggle at least kidogo kufikia thawabu. Akihangaika atathamini matunda.

#say no to number 8#
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom