Ladies, what do you wear in bed?

Ladies, what do you wear in bed?

Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue
Hahaha dadeki
 
Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue


Heheh!, kama nakuona ulivo hangaika. Halafu mdada alifanya kitendo siku mbaya sana...ya mvua...when you needed her the most! 🙂
 
hahahaaaaaaaaa!!! you made my evening, kweli alijua kukuweza!!
unatamani umsimulie mtu ila ndio vile tena.

We acha tu atoto yani mtu una fundo lako shingoni halafu watu hawakusikilizi.

Siku tatu kabla hajaolewa alinipigia akanipa vichambo vikali sana nafikiri aliandika maana vyote vilikuwa vinagusa hadi kwenye mfupa. Mi nilikuwa natetemeka tu sikuwa na majibu. Akaniambia nioe niache kusumbua watoto wa watu

Nahisi mateso yote haya ni huyu mwanamke tulizaa mtoto halafu tukazinguana. Tatizo habembelezeki, tunaongea vizuri sana hata se.x anatoa bila shida tukionana. Ila suala zima la kuoana hataki hata kusikia anasema mi kicheche. Nimemuambia nimebadilika hataki hata kusikia. Nimechoka
 
The question is for ladies but men comes first to say what they like. ... it's like they twist the question.

Anyways let that a side, Kasie act on number 7 and 8.

As usual....

My regards to Silas.

Kasie.
ni waoga wanawake kujieleza ndo maana ujaina faster madume yameingilia..... mke wangu yy n no 8 ingawa najua hapendagi kwa sana.
 
We acha tu atoto yani mtu una fundo lako shingoni halafu watu hawakusikilizi.

Siku tatu kabla hajaolewa alinipigia akanipa vichambo vikali sana nafikiri aliandika maana vyote vilikuwa vinagusa hadi kwenye mfupa. Mi nilikuwa natetemeka tu sikuwa na majibu. Akaniambia nioe niache kusumbua watoto wa watu

Nahisi mateso yote haya ni huyu mwanamke tulizaa mtoto halafu tukazinguana. Tatizo habembelezeki, tunaongea vizuri sana hata se.x anatoa bila shida tukionana. Ila suala zima la kuoana hataki hata kusikia anasema mi kicheche. Nimemuambia nimebadilika hataki hata kusikia. Nimechoka
Hahaha eti unafikiri vichambo aliandika kwenye daftari. Ni mnyaki pia huyo binti?
 
Hahaha eti unafikiri vichambo aliandika kwenye daftari. Ni mnyaki pia huyo binti?

Huyo ni mixer ya mnyaru/tutsi na mchaga ila uswahili anauweza balaa. Ajabu ananichamba mwenyewe na kulia analia mwenyewe. Na mimi kubishana na wadada siwezi. Nikishushuliwa sana huwa naishia kusafiri tu.
 
hebu come again, ulozaa nae ni huyo aloolewa au?? maana umenichanganya hapo.

We acha tu atoto yani mtu una fundo lako shingoni halafu watu hawakusikilizi.

Siku tatu kabla hajaolewa alinipigia akanipa vichambo vikali sana nafikiri aliandika maana vyote vilikuwa vinagusa hadi kwenye mfupa. Mi nilikuwa natetemeka tu sikuwa na majibu. Akaniambia nioe niache kusumbua watoto wa watu

Nahisi mateso yote haya ni huyu mwanamke tulizaa mtoto halafu tukazinguana. Tatizo habembelezeki, tunaongea vizuri sana hata se.x anatoa bila shida tukionana. Ila suala zima la kuoana hataki hata kusikia anasema mi kicheche. Nimemuambia nimebadilika hataki hata kusikia. Nimechoka
 
Huyo ni mixer ya mnyaru/tutsi na mchaga ila uswahili anauweza balaa. Ajabu ananichamba mwenyewe na kulia analia mwenyewe. Na mimi kubishana na wadada siwezi. Nikishushuliwa sana huwa naishia kusafiri tu.
Hahaha komesha yako hiyo
 
hebu come again, ulozaa nae ni huyo aloolewa au?? maana umenichanganya hapo.

Niliyezaa naye ni mwingine. Huyu nilimpata baada ya kuzinguana na huyo mzazi mwenzangu, si ndio maana nahisi ni bad karma kutoka kwa mama mtoto maana sijapata tena mwanamke wa kueleweka.

My one last move kumrudisha kwangu ni kama imefail kabla hata sijaanza kuitekeleza maana ana jamaa yake wako siriaz wanaoana. Na mimi naona Mungu ameanza kunilegezea kamba kiaina
 
Back
Top Bottom