Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar


Kumbe gadner si lolote, alikuwa anamchakaza tu huyu mtoto,siku hizi ana nawili kweli.
 
Ulitaka wawe vipi na wewe?Sio wote wanaopenda mitukunyema,hebu tupumzisheni na miili yetu.
Ishakuwa taabu...
Tukunyema muhimu. Unaanzaje kushika mifupa. Kitu nyama hadi unajingata
 
Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar



Kuhangaika
 
Angekuwa kama wema wangemsema now anaolewa pia wanamsema, wanaume wa Jf wanapenda sana kukandia wanawake, wakimaliza hapo ndo wa kwanza kuja kutusumbua vitandan
My dia tena wengi wana wanawake wa aina ile ile wanayoponda,Mungu awasaidie.
 
Wabongo bwana, wanawake wakionyesha heshima na kujiheshimu mnawaponda wakijianika kama Wema mnaponda, sasa tukimbilie wapi? Kama JD kachuja wewe uliyepata vipondo vya maisha tukuiteje!? Umevuja ama?
Bahati mbaya sijapata vipondo vyovyote vya maisha ukiacha vile vya kimaumbile kama kufiwa na maradhi ya hapa na pale...nasisitiza ameshachuja kwenye sanaa hana jipya wala mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…