G. HabashPole Gadna
Tatzo hashiki mimba
Daah kwanin mnakuwa hivo, kamshikishe wew basTatzo hashiki mimba
we mshipa uchochez wa nn sasa..?Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
Mshaanza kufananisha kitakachofuata ni kumtoa kasoroHuyo waliyekaa naye mbona kafanana kama yule aliyekuwa anagombea Ubunge Morogoro Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo
Una mambo bibieHuyo waliyekaa naye mbona kafanana kama yule aliyekuwa anagombea Ubunge Morogoro Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo
Gardner........
mie ni mwanaume labda wewe mwanamke mwenzie umsaidieMsaidie wewe kushika
anayewaambia mtoe mimba nani hayo ndo matokeo yakeDaah kwanin mnakuwa hivo, kamshikishe wew bas
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Huyu naye asije kuwa mkojozaji kama aliyepita.