Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

anayewaambia mtoe mimba nani hayo ndo matokeo yake
Aliyekwambia kuwa sababu ya kutokushika ujauzito ni kutoa mimba tu alikuingiza choo cha kike, kuna sababu nyingi sana sio hyo moja unayong'ang'ania ww, na wanaume wasiokuwa nauwezo wa kuzalisha nao walitoa mimba? Kupata mtoto ni majaliwa yake Mungu na si kwa uwezo wa mwanadamu msipende kuwanyooshea wenzenu vidole
 
abortion ndio inatake place kama hujui nitafte nkupe maelezo ya kutosha
 
Ila kachonga sana huyu, mkavuuuu, hata ukimwekea chachandu, vikorombwezo, mapoda bado mvuto haupo aiseee.. daah mkavu sana jamani, ile kwichi kwichi ya kumfuata haipo aisee..
 
umbeyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tu
 
Anakojozwa tena......Duh....vijana wametisha....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…