Alichofanya Jide na team yake ni uungwana. Jamaa walitaka yaishe, kakubali yaishe. Angegoma, wangesema anapenda visasi, ndio wabongo tulivyo.
Kwahiyo unataka kujidanganya kwamba Clouds wanamuhitaji sana Jide??!!!nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?
Ruge kaamua kutumia busara tu kwa hiyo kauli... kwenye kesi, Jide ndie ameshindwa kesi! Sasa tangu lini aliyeshinda kesi akaomba poo? By the way, hivi unaamini kabisa ni Clouds ndio inamuhitaji Jide kuliko Jide anavyoihitaji Clouds??!!!We jamaa ni mnazi wa clouds nn luge ndo amefunguka na kusema yaishe sio jide
Iyo management ya jide imekubali tu yaishe sio kesi sasa nani ameomba pooh clouds wameangalia mbali sana E tv iko kwenye majaribio wengi wangeota pembe na kudharau clouds
Mkuu sisi Watanzania tunashida moja. Hatujuagi "ku-reason". Lolote linalokuja tunajibu bila kujua chanzo chake.nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?
Baada ya Jide kuwatuhumu Clouds,Clouds walifungua kesi kumtaka Jide athibitishe aliyoandika.Mwezi huu ile kesi imeisha ndio maana hata Ruge anaongelea miaka ya nyuma Ruge alikuwa hawezi hata kutaja jina la LadyJaydee. Clouds wameshinda hiyo kesi na Jide ameambiwa awaombe msamaha na alipe gharama za kesi
http://djhazuu.com/lady-jaydee-ashindwa-kesi-na-clouds-media-mahakama-yampiga-nyundo/ [URL="http:// "] [/URL]
Ruge ameanza kuzungumzia hii issue baada ya Clouds kushinda kesi now hakuna tena huo mgogoro ndio maana yuko free kuongelea
Tangu JayDee awashutumu Clouds/Ruge walikuwa hawajawahi zungumzia hii issue hata kwenye Interview yake na Mkasi TV hawakuigusia kabisa na hata aliyemuuliza swali Ruge ni mtangazaji wa Clouds akiwa anafahamu kabisa kesi imeisha
Acha kuwa na akili kama za mende!Jii tittle na habaro yote imekaa kikuda kama nini.
Ruge na Clouds Media ndio wamesanda kwa komando mpaka wameomba na alichofanya komando ni kuridhia tu lile ombi la Clouds Media.
Badilisha taito mkuu andika
"HATIMAYE CLOUDS MEDIA WAMESANDA KWA KOMANDO JIDE"
Sasa kazi inabaku kwa yule alie imbiwa ndindindi
Hongereni kwa kumaliza tofauti zenu.
SIDHANI kama atafanya hivyo.kweli tutaisoma nambanakumbuka alisema akifariki hataki chawa yoyote kutoka clouds ahudhurie mazishi yake.... angefuta na hiyo kauli
Wewe ndio unaakili za chawa.alieomba maridhiano ni nani?.Acha kuwa na akili kama za mende!
Clouds ni system haiwezekani system isande kwa mtu mmoja for what?
Ndg yako Ruge ndo amesanda mpaka akenda kulia lia kwa media Xxl kumlilia komando Jide.Acha kuwa na akili kama za mende!
Clouds ni system haiwezekani system isande kwa mtu mmoja for what?
Uko sahihi kabisa nadhani wote wamechukua hatua ya kupatana ni jambo jema sioni sababu ya kuchukulia hii hatua kama uoga.nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?