Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilaa huyu nae sijui shida nn techolojia imekua sanaaa sahv atafute mtu amzalie kama yeye hawez na iman mayai anayo na pesa anayo azamiee mbele huko akaje na mtotodah, gadna kafaidi sana ma+mae zake
Ha ha sijawah ona msanii mkubwa anajibizana na mashabiki kila commentVyuma vimekaza jamani inabidi tuwasamehe mastaa wetu wakiwa na hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana tumbo nzuri 😋😋😋Huyu mwanamke sijui ni stress ama ni nini...
Katika hali inaonesha kupanick au kutojiamini na anachokifanya, amekuwa akijibu tena kwa kejeli kila comment ya mtu anayemcriticise, hii ni baada ya kutupia picha za nusu utupu. View attachment 1006855
Mimi pia sijaona 'nusu uchi' hapo.Ndio mana kesi za kubaka nyingi siku hizi. Sasa unusu uchi uko wapi hapo?
Dah mimi jide nachinja kichwa tu afu hizo dodo na kitovu zinavutiadah, gadna kafaidi sana ma+mae zake
Yuko vizuri