Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Thats her life hana obligation kwa kima yoyote. She has one life wacha aishi maisha yake tu ukiendekeza pimbi wa mitandaoni huwezi kufanya kitu, hapo uchi upo wapi?? Halafu utamaduni wa kiafrika sio kuvaa nguo ndefu, someni history nguo zimeletwa na wazungu
Kwahiyo , nkuulize swali 1 na naomba isiwe personal, kwani wewe mpenzi wako au mkeo kama umeoa anaweza vaa hivo ukampeleka kwa mamayako mzazi!? Au ungependa dress code hiyo avae mzazi au dada ako!? Kama unapata ukakasi basi ujue ni utupu, kama unaona sawa basi nadhani wewe si mtanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwanamuziki Mmoja Wa Kike Wa Amerika Alipenda Sana Kuwatoa Udenda Marhabiki Wake Kwa Namna Alivyokuwa Anayaacha Matiti Yake Nusu Uchi Huku Yakiwa Yametuna Kama Machungwa. Huo Mtindo Wa Kuacha Kufunika Matiti Nusu Ulienea Sana Ikawa Fasheni
 
Amenisikitisha sana. Kuna level ukishavuka na ukawa na heshima mbele ya jamii ni vizuri kujitafakari mno unapotaka kufanya kitu public. Wapo watu walioruhusu watoto wao kuingia kwenye muziki kwa sababu yake na heshima aliyoiweka. Mfano gani anawapa wadogo zake? Tutawakanya wadogo zake kwa mfano upi tena? Sad!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi jamani? Angalia wimbo wa Siku hazigandi kitovu nje mbona Ndo mavazi yake? After all. Hiyo nguo IPO sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha hiyo haina shida mkuu ila inatoa funzo kwa wadogo zake wajitunze wasiwe na manyama uzembe (pamoja na kwamba kuna wanaomlaumu waume kwa wanawake ila kuna wadada wenzake na wadogo zake wanajisemea moyoni amewezaje na uhenga wake kujiweka hivyo kuanzia chuchu, tumbo na mwili kwa ujumla maana unakutana na mdada ana 24 ana mikunjo utasema ana 45)

By the way serikali ilishasema hakuna nusu uchi mtu anapovaa nguo hata kama 70% ya mapaja yake yapo nje (waziri wa elimu wa elimu na utamaduni wa enzi hizo alishasema bungeni - Prof. Kapuya hivyo inabidi tuvumilie tu na kama amepost mtandaoni maana yake usi-follow kama amekwenda kinyume chako na kuleta humu JF maana yake na wewe unazidi kusambaza picha kwenye platform zingine ambazo kuna watu wenye mtazamo kama wako wa kutokupenda picha za nusu uchi waweze kuona)

Kwahiyo picha kama unahisi mbaya kwa macho yako hata kama unakemea hutakiwi kui-post sehemu nyingine vinginevyo nenda kwenye ile ile platform kakemee
 
Wapi jamani? Angalia wimbo wa Siku hazigandi kitovu nje mbona Ndo mavazi yake? After all. Hiyo nguo IPO sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamechelewa kuja mjini ndio maana wanashupaza shingo, tangu lini Jide alivaa kilokole wakaangalie picha za harusi yake alivyovaa sidiria.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Katika u-superstar wa hapa duniani kuna uwezekano mkubwa shetani anahusika! Hivi anaonesha maumbile yake ili iweje? Nimekuwa mfuatiliaji wa kazi zake tangu mwaka 2001 kwenye wimbo wake wa nailazimisha furaha ... sikuwahi kumuona akifanya mambo ya ajabu - ila katika hili ... huyu ni wa kuombea.
 
Back
Top Bottom