124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamtoto mmoja na gadnaLazmaa stress awe nazo kibongo bongo ukikosaa mtoto hata uwe billionea ukikaa pekeako lazma uwazee tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzeebaba so gari uzuri wake ni ukubwa wa engine au mlio??Chura kitu gani bwana jide yuko kimahaba xaidi ya hao wenye housing za ma.vi kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazmaa stress awe nazo kibongo bongo ukikosaa mtoto hata uwe billionea ukikaa pekeako lazma uwazee tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah, gadna kafaidi sana ma+mae zake
Nashangaa, labda kwanza watupatie tafsiri ya uchi,Mimi pia sijaona 'nusu uchi' hapo.
Usinambie [emoji44][emoji44]Nani alikwambia anajiheshimu. Haujawahi kutana nae kwenye anga zake na leo ndio 40 yako yakumwona akiwa mtupu. Ni kawaida yake
Wapopo ni hataree...itakuwa yule jamaa kamlia vihela vyake kasepaa!Hakuna watu statergic kama those bit*ches from Nigeria au Senegal ukiona sisters zako wako hanged out na Hao jamaa na Dada ana kaajili ka serikalini au vi mradi basi Muambie dada umeisha ni Watu wa long term plan, Ni Matapeli professionally
oi niaje mzee?Picha za nusu utupu? Utupu gani?