Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Tenda huwekwa wazi ili anayeitaka ajue anacholilia. Hiyo ni tenda wazi kuwa yuko peke yake hivyo ukimtaka usiende bila kujua unacho lilia. Ana haki
 
Tangu niko mdogo nimekuwa nikisikia mziki ni uhuni!
Kwamba mtu hawezi kujishughulisha na kazi ya mziki akaacha kuwa mhuni!
Siku hizi naona na sanaa zingine zikiwemo za maigizo n.k
Nao wameleta mtazamo wa kuonekana wahuni kwa jinsi wengi wanavyoendenenda kwenye jamii ikiwemo mavazi na lugha zao!
Kwa hiyo mimi hata simshangai sana na wala hajaanza Leo kuvaa mavazi yaliyo kinyume na maadili!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe yupo hivyo figure kama ya kiume..Ndio maana Gardner alimkojoza miaka minane afu akamuacha
 
Hakuna watu statergic kama those bit*ches from Nigeria au Senegal ukiona sisters zako wako hanged out na Hao jamaa na Dada ana kaajili ka serikalini au vi mradi basi Muambie dada umeisha ni Watu wa long term plan, Ni Matapeli professionally
Wapopo ni hataree...itakuwa yule jamaa kamlia vihela vyake kasepaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado ana manyonyo mazuri.Mi nishawahi kumtia mimba tasa aliyeshindikana sasa ningepata connection ya jide angefurahia maisha kwa kupata mtoto fasta tu.
 
Back
Top Bottom