Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Lady Jay Dee aweka picha yake ya nusu uchi mtandaoni, naona sasa anaelekea kusiko! Mashabiki wamvaa

Hana chura kaamua kuoneaha mtindi tuu..
Kashakua mtu mzima picha kama hizo hazifai kwa hapa bongo.. labda angekuwa mambele
 
50745220_1456771591129547_1832939488989413376_n.jpg

Judith dada yangu wewe unayo heshima kubwa kama legend. Tafadhali sana itunze heshima hii kama afanyavyo Joseph Mbilinyi na Joseph Haule. Kwa nini umeanza kutembea uchi kabisa

Amenisikitisha sana. Kuna level ukishavuka na ukawa na heshima mbele ya jamii ni vizuri kujitafakari mno unapotaka kufanya kitu public. Wapo watu walioruhusu watoto wao kuingia kwenye muziki kwa sababu yake na heshima aliyoiweka. Mfano gani anawapa wadogo zake? Tutawakanya wadogo zake kwa mfano upi tena? Sad!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amenisikitisha sana. Kuna level ukishavuka na ukawa na heshima mbele ya jamii ni vizuri kujitafakari mno unapotaka kufanya kitu public. Wapo watu walioruhusu watoto wao kuingia kwenye muziki kwa sababu yake na heshima aliyoiweka. Mfano gani anawapa wadogo zake? Tutawakanya wadogo zake kwa mfano upi tena? Sad!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikwambia anajiheshimu. Haujawahi kutana nae kwenye anga zake na leo ndio 40 yako yakumwona akiwa mtupu. Ni kawaida yake
 
View attachment 1007487
Judith dada yangu wewe unayo heshima kubwa kama legend. Tafadhali sana itunze heshima hii kama afanyavyo Joseph Mbilinyi na Joseph Haule. Kwa nini umeanza kutembea uchi kabisa
Naomba nitofautiane na wewe. Judith hajawahi kuwa na heshma mbele ya jamii. hata kanisani kwake walimtenga miaka ya 80 au 90 (kama sikosei) kwa kukaa uchi. Hawa ni Malaya, ila umalaya uliohalalishwa. Ukitaka kuona mapaja ya mwanamke, weka vitu kama maonyesho mitindo, nguo za ufukweni etc. Unatafuta njia inayokubalika na jamii ufanye umalaya, ujitangaze. Na wanaume wanapenda kuona "nyuchi", tafuta namna ya kuwavutia upate umaarufu!
 
Ndio mana kesi za kubaka nyingi siku hizi. Sasa unusu uchi uko wapi hapo?
Nusu uchi uko wapi hapo? Nyinyi mna stress mnamsingizia Jide. Mtu avae chupi yake matako yakuwashe wewe, kweli?
Mimi pia sijaona 'nusu uchi' hapo.
Mimi pia nimejaribu kutafuta nusu uchi hapo wala sijaona nikadhani labda macho yangu yameanza kuingia ukungu, lol.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Naomba nitofautiane na wewe. Judith hajawahi kuwa na heshma mbele ya jamii. hata kanisani kwake walimtenga miaka ya 80 au 90 (kama sikosei) kwa kukaa uchi. Hawa ni Malaya, ila umalaya uliohalalishwa. Ukitaka kuona mapaja ya mwanamke, weka vitu kama maonyesho mitindo, nguo za ufukweni etc. Unatafuta njia inayokubalika na jamii ufanye umalaya, ujitangaze. Na wanaume wanapenda kuona "nyuchi", tafuta namna ya kuwavutia upate umaarufu!

Kuvaa vimini ndio Umalaya?? basi itakua dunia nzima ukitoa nchi za Arabuni wanawake ni malaya,
kama kitu hupendezwi nacho hauna sababu ya kukiongelea negative halafu huyo Judy akatengwe miaka ya 80 kua yeye kazaliwa miaka ya 60 au?

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Tatizo havutiii hata kidogo, sura ngumuuuuuu kama muuza mkaa, takoless, figureless, suraless, careless, childless, hayuko sexy kabisa, havutii yaani, hana kitu cha kuvutia hajioni wala hajijui sbb kichwani ni brainless..!!
 
Back
Top Bottom