Xkalinga
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 476
- 317
Uzuri wanakunja miguu na kubebeka….wengine wasingekunja miguuWasanii wa WCB wanabebwa na Diamond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wanakunja miguu na kubebeka….wengine wasingekunja miguuWasanii wa WCB wanabebwa na Diamond
sabuni ya WASAFISamahani mimi nimgeni ...Zuchu ni label au sabuni au nini samahani sifahamu chochote nimepotea njia.
Wivu mbaya sanaKusema ukweli Zuchu hamna kitu. Bora hata Tanasha.
Binamu nimekumic mnoooooh, hebu lete na umbea bhana lol.Jide kajitengeneza mwenyewe ni komando , huyo mwingine katengenezwa hana maajabu yeyote , hakuna zuchu bila Wasafi ila Jide anasimama mwenyewe hateteleki, msifananishe vitu vya kipuuzi mbwa nyie
Jide katengenezwa na Ruge Mutahaba, maybe wakati wa Smooth Vibes label wengi mlikuwa bado mnanyonya.Jide kajitengeneza mwenyewe ni komando , huyo mwingine katengenezwa hana maajabu yeyote , hakuna zuchu bila Wasafi ila Jide anasimama mwenyewe hateteleki, msifananishe vitu vya kipuuzi mbwa nyie
Kwako au kwa wote tunao ujua MZIKI...!!!???Bongo hiii haji kutokea mwanamke fundi wa Mziki kama J dee...!! Hayupo na hatakuwepoo
Kwako au kwa wote tunao ujua MZIKI...!!!???
Kaangalie online platforms, nowdays number don't lie? Jaydee zamani but for now ZUCHU TAMBA TAMBA SANAKama unaujuaa ndo kabisaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huwezi sema unaujua alafu unamfananisha J dee na zuchu..?? Wtf???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jiono njema mkuu maana naona ntapoteza muda tu hapaa.Kaangalie online platforms, nowdays number don't lie? Jaydee zamani but for now ZUCHU TAMBA TAMBA SANA
Ndo ukweli,nimuonee wivu huyu ??????Mtu ambae akifanya show mapato yote yanakwenda kwa kina Salaam?Wivu mbaya sana
Kwanza ile show yake ambayo kiingilio ilikuwa mamilioni ya pesa nilikaa nikawa namsikiliza huyo zuchu maana hata nilikuwa simjui.Jide kajitengeneza mwenyewe ni komando , huyo mwingine katengenezwa hana maajabu yeyote , hakuna zuchu bila Wasafi ila Jide anasimama mwenyewe hateteleki, msifananishe vitu vya kipuuzi mbwa nyie