Alimkojoza.Huu ungomvi wao utaisha lini , Jaydee alifanyiwa nini na Gardner Habash hadi amtungie nyimbo hadi Leo
Jaydee na Gadner hawana ugomvi. Hata juzi Jaydee alikuwa kwenye Jahazi akihojiwa na akampa Gadner zawadi ya sneakers.Wimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji .
Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake Gardner Habash baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza
Huu ungomvi wao utaisha lini , Jaydee alifanyiwa nini na Gardner Habash hadi amtungie nyimbo hadi Leo
USSR
Jaydee jeshi nasikia mzaramo yule... hana dogo. kubwa na dogo kwake yote makubwa tu. ndo mana kila akitaka kutunga nyimbo anaanza kukumbuka visa alivyowahi kufanyiwa na watu huko nyuma huku akilia.... ndo mistari inakuja.Wimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji .
Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake Gardner Habash baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza
Huu ungomvi wao utaisha lini , Jaydee alifanyiwa nini na Gardner Habash hadi amtungie nyimbo hadi Leo
USSR
Jide ni mkurya mkuu!Jaydee jeshi nasikia mzaramo yule... hana dogo. kubwa na dogo kwake yote makubwa tu. ndo mana kila akitaka kutunga nyimbo anaanza kukumbuka visa alivyowahi kufanyiwa na watu huko nyuma huku akilia.... ndo mistari inakuja.
Jide ni mkurya mkuu!
Tabia za kizaramo.Jide ni mkurya mkuu!
Yeah hapo ako na shida kiukweli!ana roho ya kizaramo pamoja na ukurya wake. haiwezekan amfatilie eksi m0paka kufa. we unaona yuko timamu huyu
Mkurya kwa kabila ! Mzarwmo ni kabila na tabia , so anawwza kuwa mkurya lakini ana tabia za kizaramoJide ni mkurya mkuu!