Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nimekupa mkuu!Mkurya kwa kabila ! Mzarwmo ni kabila na tabia , so anawwza kuwa mkurya lakini ana tabia za kizaramo
Kwani wazaramo tumekukosea niniMkurya kwa kabila ! Mzarwmo ni kabila na tabia , so anawwza kuwa mkurya lakini ana tabia za kizaramo
Hujanikosea chochote mkuu ,kwa sababu hata mie sometimes huwa nafagilia lifestlye za kizaramoKwani wazaramo tumekukosea nini
Mkuu hayo mahojiano niliyasikiliza,tena anaulizwa pale kwamba hii nyimbo mbona kama inamlenga mtu flani ,Jide akajibu kwamba watu mawazo yao wanapeleka tu huko, wakahojiana pale na kufurahi na Gardener mwenyewe akawa anamwuliza baadhi ya maswali na wako fresh.Jaydee na Gadner hawana ugomvi. Hata juzi Jaydee alikuwa kwenye Jahazi akihojiwa na akampa Gadner zawadi ya sneakers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alimkojoza.
Nimeyakumbuka yale maneno yaliyotoka kwenye kinywa kichafu
Shogareee uko winja winja siku hiziii!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo matano [emoji1783]!
Kwamba Jide ni mhanga wa FGM sio?Yule binti nilimkojoza, alisikika mlevi mmoja.
Inahitaji kuwa na Iron dome system kufanikisha kumkojoza toto ya kikurya hasa ile iliyokuwa mutilated chini
Una uhakika gani kamuimba x wake?Wimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji .
Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza
Huu ungomvi wao utaisha lini , Jaydee alifanyiwa nini hadi amtungie nyimbo hadi Leo
USSR
Hujanikosea chochote mkuu ,kwa sababu hata mie sometimes huwa nafagilia lifestlye za kizaramo
Kisirani kama koboko.Jide inaonekana ana kisirani sana!
Dar alikuja babu mkuu , nimezaliwa na kukulia dar , wazaramo ni majirani zangu nawajua ndani njeWewe binafsi umeshapata shida na Wazaramo kaka tangu ufike Dar Es Salaam?