Lady Jaydee amemuimba X wake baada ya kufulia na kuwa chapombe wa taifa?

Lady Jaydee amemuimba X wake baada ya kufulia na kuwa chapombe wa taifa?

Kuna mdau alisema ndo goita uleugonjwa ukila nyama ya mbuzi sana, sijui kweli
😂😂😂 Hamna bhana goita ni kwenye koo na kama ni ule ugonjwa wa kula nyama ya mbuzi nahisi unaitwa gaut ila huo ni sehem za maungio japo sijawahi kutana na mtu akanipa uzoefu kwenye huo ugonjwa ila mwamba akibaa t-shirt dah anachekesha anakua kama wale katuninwa magazeti ya sun
 
Wimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji.

Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza

Huu ungomvi wao utaisha lini, Jaydee alifanyiwa nini hadi amtungie nyimbo hadi Leo

USSR
Mshamba sana Jide halafu kajawa visasi.. Labda kama hajamuimba mwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom