proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
kuna shida mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti sugu za viti virefu [emoji3]Ila G akivaa t-shirt dah kwenye viwiko kavimba kama kapigwa rungu au ndio sugu za viti virefu
Kuna mdau alisema ndo goita ule ugonjwa ukila nyama ya mbuzi sana, sijui kweliIla G akivaa t-shirt dah kwenye viwiko kavimba kama kapigwa rungu au ndio sugu za viti virefu
😂😂😂 Hamna bhana goita ni kwenye koo na kama ni ule ugonjwa wa kula nyama ya mbuzi nahisi unaitwa gaut ila huo ni sehem za maungio japo sijawahi kutana na mtu akanipa uzoefu kwenye huo ugonjwa ila mwamba akibaa t-shirt dah anachekesha anakua kama wale katuninwa magazeti ya sunKuna mdau alisema ndo goita uleugonjwa ukila nyama ya mbuzi sana, sijui kweli
Dah nimecheka sana 😂😂😂 baada ya kuona vile viwikoIla G akivaa t-shirt dah kwenye viwiko kavimba kama kapigwa rungu au ndio sugu za viti virefu
Mshamba sana Jide halafu kajawa visasi.. Labda kama hajamuimba mwanaWimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji.
Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza
Huu ungomvi wao utaisha lini, Jaydee alifanyiwa nini hadi amtungie nyimbo hadi Leo
USSR
Kuna mzaramo kakupiga tukio ambalo huwezi kulisahau..?!Tabia za kizaramo.
Nasikia ni ferooz tena ni chain ya pale THT na wakina KibondeIla Gadna kaisha jamani anaumwa au?
Ila G akivaa t-shirt dah kwenye viwiko kavimba kama kapigwa rungu au ndio sugu za viti virefu
Jide inaonekana ana kisirani sana!
Goita na gauti ni magonjwa mawili tofauti. Ila mwamba katisha, mkono kama mguu wa chini wa nyuma wa mbuzi aka paya...Kuna mdau alisema ndo goita ule ugonjwa ukila nyama ya mbuzi sana, sijui kweli
Ukihudhuria kliniki mambo si mswano tu unadunda?Nasikia ni ferooz tena ni chain ya pale THT na wakina Kibonde
Yule mapombe sanaIla Gadna kaisha jamani anaumwa au?
Sana tu ati.Kuna mzaramo kakupiga tukio ambalo huwezi kulisahau..?!
Maana si kwa mapovu hayo!
😂Ila G akivaa t-shirt dah kwenye viwiko kavimba kama kapigwa rungu au ndio sugu za viti virefu