kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwamba alimkojolea kwa miaka 15Alimkojoza.
Nimeyakumbuka yale maneno yaliyotoka kwenye kinywa kichafu
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba alimkojolea kwa miaka 15Alimkojoza.
Nimeyakumbuka yale maneno yaliyotoka kwenye kinywa kichafu
Nasikia alimkojoza mpaka akamwaga kojo la hajaWimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango yakiwa tele kutoka Kwa mwimbaji.
Vijana wanasema komando Jaydee amemuimba X wake baada ya jamaa kufulia na kuwa chapombe kupitiliza
Huu ungomvi wao utaisha lini, Jaydee alifanyiwa nini hadi amtungie nyimbo hadi Leo
USSR
Picha tafadhaliJaydee na Gadner hawana ugomvi. Hata juzi Jaydee alikuwa kwenye Jahazi akihojiwa na akampa Gadner zawadi ya sneakers.
wakati ni ukuta. Ukiamka una uzima mshukuru Mungu. Umri unakuja na mengi.Dah nimecheka sana 😂😂😂 baada ya kuona vile viwiko
Ila Gadna kaisha jamani anaumwa au?
Tumia lugha nzuri,asiye na king'amuzi😁Yule binti nilimkojoza, alisikika mlevi mmoja.
Inahitaji kuwa na Iron dome system kufanikisha kumkojoza toto ya kikurya hasa ile iliyokuwa mutilated chini
Malizia miaka 15Alimkojoza.
Nimeyakumbuka yale maneno yaliyotoka kwenye kinywa kichafu