Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

We unadhan jide anababaishwa na nini?? Kama uhakika wa maisha anao ata asipoimba mwaka mzima, bado ataingiza pesa kila wiki pale nyumbani lounge, bado ana vitega uchumi kibao , kama kufulia kimuziki kafulia kitambo na sasa ivi anaishi kwa nguvu za pesa yake mwenyewe, maana hata nyimbo zake izi mbili za mwisho hazijafanya poa ila bado mwenzenu life linasonga mbele, inshort achaneni na jide, yule kashashindikana ndugu zangu, mtajisumbua bure yule maisha kashayapatia kitambo
warumi unapenda sana kuzungumzia mafanikio ya Jide nje ya muziki... hapa hakuna anayejadili utajili wa mtu kwavile si mimi wala wewe ambae anafahamu utajiri wa kila mmoja... juzi juzi tu Ray nae akaibuka na kusema yeye ndie msanii tajiri kuliko wote... mwakajana Diamond nae akaibuka na kusema akaunti yake ina angalau Bilioni moja za Kitanzania... nani anaweza ku-confirm yote haya.... si ajabu msanii tajiri kuliko wote ni Riyami Ally, who knows??!!! It's good kwa Jide kwamba ana vit vinavyoonekana, lakini kuna wengine vya havionekani!!! Sasa kwavile hatuwezi kuyapatia majibu sahihi mambo kama haya, wengine tuta-base kwenye kazi za kisanii! Leo hii nikisema ama Jide au Kiba amefulia, reference yangu haitakuwa kufulia kiuchumi coz' sifahamu what they own....
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini jide aliitwa "kamanda/ komando"?kapitia mengi sana, ni mmoja wa punda(ndio drug mule) wa mwanzoni mwanzoni ambaye hakufaidika na jasho lake wakawa wanakula hawa wapuuzi akina ruge ila bado kasimama
 
warumi unapenda sana kuzungumzia mafanikio ya Jide nje ya muziki... hapa hakuna anayejadili utajili wa mtu kwavile si mimi wala wewe ambae anafahamu utajiri wa kila mmoja... juzi juzi tu Ray nae akaibuka na kusema yeye ndie msanii tajiri kuliko wote... mwakajana Diamond nae akaibuka na kusema akaunti yake ina angalau Bilioni moja za Kitanzania... nani anaweza ku-confirm yote haya.... si ajabu msanii tajiri kuliko wote ni Riyami Ally, who knows??!!! It's good kwa Jide kwamba ana vit vinavyoonekana, lakini kuna wengine vya havionekani!!! Sasa kwavile hatuwezi kuyapatia majibu sahihi mambo kama haya, wengine tuta-base kwenye kazi za kisanii! Leo hii nikisema ama Jide au Kiba amefulia, reference yangu haitakuwa kufulia kiuchumi coz' sifahamu what they own....

Umeongea point. tunaangalia mafanikio na maendeleo yake ktk music si vitu anavyomiliki, Halafu Warumi ananifurahisha anamuita tajiri.
 
Last edited by a moderator:
Hawa mawingu wanajipendekeza sana pale magogoni na siku akiondoka mzee wa kaya watakoma kulinga kama hamjui hii radio ni ya pili baada uhuru fm kwa kufagilia wala rushwa
 
warumi unapenda sana kuzungumzia mafanikio ya Jide nje ya muziki... hapa hakuna anayejadili utajili wa mtu kwavile si mimi wala wewe ambae anafahamu utajiri wa kila mmoja... juzi juzi tu Ray nae akaibuka na kusema yeye ndie msanii tajiri kuliko wote... mwakajana Diamond nae akaibuka na kusema akaunti yake ina angalau Bilioni moja za Kitanzania... nani anaweza ku-confirm yote haya.... si ajabu msanii tajiri kuliko wote ni Riyami Ally, who knows??!!! It's good kwa Jide kwamba ana vit vinavyoonekana, lakini kuna wengine vya havionekani!!! Sasa kwavile hatuwezi kuyapatia majibu sahihi mambo kama haya, wengine tuta-base kwenye kazi za kisanii! Leo hii nikisema ama Jide au Kiba amefulia, reference yangu haitakuwa kufulia kiuchumi coz' sifahamu what they own....

Nimekusoma mkuu, ila mtazamo wa wengi wenu ni kuwa jide kafulia kwa kuwa tu nyimbo zake hazipigwi clouds, nadhan unakukumbuka vizur vibao matata vya jide kama JOTO HASIRA na YAHAYA jinsi zilivyobamba na kumpatia tuzo mbali mbali

Maana yangu ni kuwa jide hajafulia sio tu kimaisha hata muziki pia, utanishangaza sana kusema eti jide kafulia kimuziki wakat juzi tu apa kajinyakulia tuzo za kili mbili, na mnaposhupalia shingo kusema jide kafulia, na RAY C mtasemaje??, Acheni hizo bhana

Na kwa taarifa tu, jide leo anapiga show matata sana kule pande za nairobi na kuna collabo anafanya na msanii wa kike kutok uko kenya, so endeleeni kusubiria sana utabir wenu, huenda siku ukatimia
 
Last edited by a moderator:
Umeongea point. tunaangalia mafanikio na maendeleo yake ktk music si vitu anavyomiliki, Halafu Warumi ananifurahisha anamuita tajiri.

Unajua mnanifuraisha sana, unapozungumzuia mafanikio ya kimuziki huwezi kusahau mafanikio na mali alizozipata kutokana na huo mziki, mtu kajenga jumba la mamilion ,anamiliki band ya kisasa yenye vifaa vya kisasa pamoja na wasanii anaowalipa , achilia mbali mgahawa wake unaomuingizia shilingi mbili karibia kila wiki, mkumbuke yote haya ameyapata kutokana na muziki, wala hakuongwa na akina clement, ni nguvu zake na jitihada binafsi pamoja na sauti yake nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni ndivyo vilivyompa mafanikio pamoja na tuzo za kili mbili alizozipata juzi

Jide huyo huyo mnaosema kafulia, Toka mwaka 2000 hadi 2014 tuzo ya mwanamuziki bora inaenda kwa commando mwenyewe, au mnadhani waandaaji wa tuzo za kili ni vichaa au wamefulia hadi kila mwaka wampe jide tuzo??, jide bado ataendelea kuwa msanii bora wa kike miaka yote ndugu zavi, hakuna wa kulipinga hilo ndugu zangu
 
Last edited by a moderator:
mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds fm kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba kibiashara katika muziki wake.

Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.

"ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia nyimbo za lady jaydee zikipigwa clouds fm" kilisema chanzo hicho.


lady jaydee akana kumpigia magoti ruge

hahaaaa mashostito wwa clouds wamekuja msifia bosiwao hayaa mzes ongezea nshahaara hata wakati huu wa siku.
...
 
Umeongea point. tunaangalia mafanikio na maendeleo yake ktk music si vitu anavyomiliki, Halafu Warumi ananifurahisha anamuita tajiri.

Au wenzetu mafanikio ya kimuziki ni kupiga show kila siku ulaya na mlimani city ,halaf badae unarud kwenye nyumba za watu sinza mugabe??
 
Umeongea point. tunaangalia mafanikio na maendeleo yake ktk music si vitu anavyomiliki, Halafu Warumi ananifurahisha anamuita tajiri.

Nina habar mbaya mkuu, Mwanamuziki lady jaydee aliyefulia kimuziki jana kapata tuzo nyingine.
 
Nina habar mbaya mkuu, Mwanamuziki lady jaydee aliyefulia kimuziki jana kapata tuzo nyingine.

Hiyo ni habari njema mkuu sema akianza kukosa msije mkaanza kulia na clouds.
Tuseme ukweli Jay dee si mwanamuziki mzuri kwa sasa sema hakuna ushindani ktk wanamuziki wa kike huo ndio ukweli. Kama washindani wenyewe akina Vanesa na Feza ambao wanaeleweka kwa watoto wa kisure tu lazima ashinde. Jaydee ni mbovu siku hizi sema anashinda katikati ya wabovu.
 
Hiyo ni habari njema mkuu sema akianza kukosa msije mkaanza kulia na clouds.
Tuseme ukweli Jay dee si mwanamuziki mzuri kwa sasa sema hakuna ushindani ktk wanamuziki wa kike huo ndio ukweli. Kama washindani wenyewe akina Vanesa na Feza ambao wanaeleweka kwa watoto wa kisure tu lazima ashinde. Jaydee ni mbovu siku hizi sema anashinda katikati ya wabovu.

Ahahahh, sasa ivi ndo naanza kukuelewa kuwa una chuki binafsi tu na jide na sio vinginevyo

Msanii mbovu toka mwaka 2000 had jana ananyakua tuzo yeye tu??, kaporomosha mjengo pamoja na restaurant ya adabu pamoja na kununua mkoko expensive , hayo yote ni kutokana na muziki wake mzuri kukubalika kwenye jamii

Au tafsir yako kwa mwanamuziki asiyefulia ni kutoa nyimbo kila siku?, au kupiga show kila siku sweden?? Kwa jide muziki ni kazi, kwa jide mziki ni maisha, na kweli mziki umempa maisha na heshima ya kutosha ndani na nje ya nchi, BIG UP sana KOMANDO JIDe
 
Ahahahh, sasa ivi ndo naanza kukuelewa kuwa una chuki binafsi tu na jide na sio vinginevyo

Msanii mbovu toka mwaka 2000 had jana ananyakua tuzo yeye tu??, kaporomosha mjengo pamoja na restaurant ya adabu pamoja na kununua mkoko expensive , hayo yote ni kutokana na muziki wake mzuri kukubalika kwenye jamii

Au tafsir yako kwa mwanamuziki asiyefulia ni kutoa nyimbo kila siku?, au kupiga show kila siku sweden?? Kwa jide muziki ni kazi, kwa jide mziki ni maisha, na kweli mziki umempa maisha na heshima ya kutosha ndani na nje ya nchi, BIG UP sana KOMANDO JIDe

achana nae huyo binamu team chuki forever hata jide aimbe rihanna hatomkubali
 
Ahahahh, sasa ivi ndo naanza kukuelewa kuwa una chuki binafsi tu na jide na sio vinginevyo

Msanii mbovu toka mwaka 2000 had jana ananyakua tuzo yeye tu??, kaporomosha mjengo pamoja na restaurant ya adabu pamoja na kununua mkoko expensive , hayo yote ni kutokana na muziki wake mzuri kukubalika kwenye jamii

Au tafsir yako kwa mwanamuziki asiyefulia ni kutoa nyimbo kila siku?, au kupiga show kila siku sweden?? Kwa jide muziki ni kazi, kwa jide mziki ni maisha, na kweli mziki umempa maisha na heshima ya kutosha ndani na nje ya nchi, BIG UP sana KOMANDO JIDe

Sina chuki binafsi sababu simjui hanijui ,kufanikiwa/kutofanikiwa kwake hakunihusu/hakunipunguzii/hakuniongezei chochote naongea kama mshabiki tu wa muziki. Sijakataa kuwa Jaydee hajawahi kuwa mwanamuziki mzuri huwezi mlinganisha Jaydee wa enzi zile zd SIKu HAZIGANDI,MACHOZI na USIUSEMEE MOYO na Jaydee wa YAHAYA(uliobebwa na bifu) na bado nakubalian Jaydee kwasasa ni msanii wa kike angalau miongoni mwa hakuna.
Na ni msanii peke
 
Sina chuki binafsi sababu simjui hanijui ,kufanikiwa/kutofanikiwa kwake hakunihusu/hakunipunguzii/hakuniongezei chochote naongea kama mshabiki tu wa muziki. Sijakataa kuwa Jaydee hajawahi kuwa mwanamuziki mzuri huwezi mlinganisha Jaydee wa enzi zile zd SIKu HAZIGANDI,MACHOZI na USIUSEMEE MOYO na Jaydee wa YAHAYA(uliobebwa na bifu) na bado nakubalian Jaydee kwasasa ni msanii wa kike angalau miongoni mwa hakuna.
Na ni msanii peke

Yes jide yuko vizur ki ukweli na hana mpinzani hata, mi nampendag kwa kuwa anajua kutunga, nyimbo zake nying sana ni kali mno, itachukua mda sana kuipoteza tuzo ya mwanamuziki bora wa kike
 
Nimekusoma mkuu, ila mtazamo wa wengi wenu ni kuwa jide kafulia kwa kuwa tu nyimbo zake hazipigwi clouds, nadhan unakukumbuka vizur vibao matata vya jide kama JOTO HASIRA na YAHAYA jinsi zilivyobamba na kumpatia tuzo mbali mbali

Maana yangu ni kuwa jide hajafulia sio tu kimaisha hata muziki pia, utanishangaza sana kusema eti jide kafulia kimuziki wakat juzi tu apa kajinyakulia tuzo za kili mbili, na mnaposhupalia shingo kusema jide kafulia, na RAY C mtasemaje??, Acheni hizo bhana

Na kwa taarifa tu, jide leo anapiga show matata sana kule pande za nairobi na kuna collabo anafanya na msanii wa kike kutok uko kenya, so endeleeni kusubiria sana utabir wenu, huenda siku ukatimia
Mtu anayesema Jide kafulia kiuchumi labda sio mwana-Dar es salaam... hapa watu tunazungumzia muziki ingawaje hata utajiri wake ni kawaida sana!!!

Nafahamu, una mahaba ya dhati kwa Jide lakini hata kama Jide jajafulia kimuziki, kimsingi ameshuka sana!!! Miaka iliyopita haikunipita Album wala show ya Jide... tena usisahau, enzi zile ukitaka album lazima uingie mfukoni na sio kama hivi sasa!! And you know what, enzi nilikuwa mwanafunzi tu lakini Jide aipotoa Album, nilijimiznywa na kununua lakini kwa sasa si tu kwamba siwezi kununua album yake (usidahani machukia yeye binafsi) lakini hata huko ku-download sioni wimbo wa ku-download. Binafsi, kwa kazi alizo-release karibuni labda Historia ndiyo mtu anaweza kunishawishi kwamba ndie Jide tuliyemfahamu..., Angalia Yahya... hakuna kitu pale, najua mashabiki wake mtapinga lakini ngoma ilipata popularity kv ilitoka at the right time. Ichukue Yahya kama ilivyo kisha assume ndo imeimbwa na mtu kama Menina... isingepata touch kama iliyopata kwa Jide...

Inawezekana warumi we ni mtoto mdogo... humjui Jide tunayemzungumzia sisi... si huyu... huyu wa sasa hajafika hata nusu ya Jide yule tunayemfahamu!!! Tunamzungumzia Jide wa Kolabo ya Ama Zao ama Zangu, Jide wa Kolabo ya Mnyalu, Jide wa Kolabo ya Hawajui tulikotoka, Jide wa Kolabo ya Sikiliza, Jide wa Kolabo ya Understand... sijataja za kwake peke yake... halafu linganisha yoyote kati ya hizo na Kolabo yake ya Joto Hasira au pini yoyote aliyotoa miaka ya karibuni!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mtu anayesema Jide kafulia kiuchumi labda sio mwana-Dar es salaam... hapa watu tunazungumzia muziki ingawaje hata utajiri wake ni kawaida sana!!!

Nafahamu, una mahaba ya dhati kwa Jide lakini hata kama Jide jajafulia kimuziki, kimsingi ameshuka sana!!! Miaka iliyopita haikunipita Album wala show ya Jide... tena usisahau, enzi zile ukitaka album lazima uingie mfukoni na sio kama hivi sasa!! And you know what, enzi nilikuwa mwanafunzi tu lakini Jide aipotoa Album, nilijimiznywa na kununua lakini kwa sasa si tu kwamba siwezi kununua album yake (usidahani machukia yeye binafsi) lakini hata huko ku-download sioni wimbo wa ku-download. Binafsi, kwa kazi alizo-release karibuni labda Historia ndiyo mtu anaweza kunishawishi kwamba ndie Jide tuliyemfahamu..., Angalia Yahya... hakuna kitu pale, najua mashabiki wake mtapinga lakini ngoma ilipata popularity kv ilitoka at the right time. Ichukue Yahya kama ilivyo kisha assume ndo imeimbwa na mtu kama Menina... isingepata touch kama iliyopata kwa Jide...

Inawezekana warumi we ni mtoto mdogo... humjui Jide tunayemzungumzia sisi... si huyu... huyu wa sasa hajafika hata nusu ya Jide yule tunayemfahamu!!! Tunamzungumzia Jide wa Kolabo ya Ama Zao ama Zangu, Jide wa Kolabo ya Mnyalu, Jide wa Kolabo ya Hawajui tulikotoka, Jide wa Kolabo ya Sikiliza, Jide wa Kolabo ya Understand... sijataja za kwake peke yake... halafu linganisha yoyote kati ya hizo na Kolabo yake ya Joto Hasira au pini yoyote aliyotoa miaka ya karibuni!!!!

Nimependa mtiririko wako, una mawazo mazur na umejitahid kuelezea kwa kweli, ila nikukumbushe tu suala la mauzo ya album kuwa mabovu sio kwa jide peke yake ila ilo ni janga la wasanii karibia wote, so apo unaposema jide album zake hazinunulik unakosea kwanza wasanii wengi sana hawatoi album siku izi

Secondly, Jide atabaki kuwa msanii bora miaka yote , kwanza unatakiwa ukumbuke jide katoka mbali sana kimuziki toka mwaka 2000 mpaka 2014 ila mwanamke huyu bado hachuji kila siku anatufanya tumuone mpya hii yote ni kutokana na sauti yake nzur, tungo zake tamu na ubunifu wake pale anapoimba

Nikuulize tu ni msanii gani wa miaka ya 2000 ambaye mpaka leo bado anaendelea kulamba tuzo zaid ya jide??, Jide ni next level and nothing compares, mashabiki tunamuelewa sana na ndio maana kila siku maisha yake yanastawi kwa ajili ya mashabiki tunao m support kaz zake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom