Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Kwakweli nilikuwa mshabiki wa Jide lakini nimekaa pembeni kidogo sababu nimegundua ni mtu anayependa kunyenyekewa na kiburi pia , msanii kuwa na maugomvi na watu si vizuri sababu inakushusha kisanii.
Naliona anguko la Jide muda si mrefu
 
Mimi binafsi kabisa kisanaa maana kwa sasa anaishi kwa huruma za mashabiki wanaoamini anaonewa......

Nyimbo ya Yahya imetamba bila hata kuanza kupigwa radioni.....imeanza kutamba kwenye mabaa na mitaani....sioni alipofikia anahitaji kiki ya mtu zaidi ya juhudi zake binafsi........

Kweli sasa anaishi kwa huruma ya mashabiki na hata hivyo wameshamchoka kitendo cha kutohudhuria KIll award kimemshusha sana hajui tu.
Nat nyimbo ya Yahaya na Joto zilibebwa na bieu alilolianzisha na Clouds.
Mi nadhani hangeachana na hayo maugomvi hayamsaidii zaidi ya kumbomoa.
 
Kwakweli nilikuwa mshabiki wa Jide lakini nimekaa pembeni kidogo sababu nimegundua ni mtu anayependa kunyenyekewa na kiburi pia , msanii kuwa na maugomvi na watu si vizuri sababu inakushusha kisanii.
Naliona anguko la Jide muda si mrefu

Jide sio mr nice wala RAY C, yule hategemei show mkuu, ana maisha yake na biashar zake za maana nje ya sanaa, kama unasubir afulie utasubir sana mwenzenu kashatoka, ana nyumba ya kifahar ana magar ya kifahar na mgahawa matata na band juu sasa mtamuwezea wap?
 
Acha wivu kama wewe unaweza fungua hata blog tu
Sasa wivu upo wapi hapo? Hebu jiulize hata wewe mwenyewe... miongoni mwa radio zote zinazopatikana eneo unaloishi, ni ngapi huwa unasikiliza mara kwa mara... ukipata jibu ndipo utakapofahamu issue sio kufungua radio station bali issue ni kuifanya hiyo radio station yako kuwa
kituo pendwa. Hayo maneno yasiyoisha kila uchao dhidi ya Clouds ni kv tu wamefanikiwa kufanya kile ambacho wengi wameshindwa!
 
Sasa wivu upo wapi hapo? Hebu jiulize hata wewe mwenyewe... miongoni mwa radio zote zinazopatikana eneo unaloishi, ni ngapi huwa unasikiliza mara kwa mara... ukipata jibu ndipo utakapofahamu issue sio kufungua radio station bali issue ni kuifanya hiyo radio station yako kuwa
kituo pendwa. Hayo maneno yasiyoisha kila uchao dhidi ya Clouds ni kv tu wamefanikiwa kufanya kile ambacho wengi wameshindwa!

Yeye ndio kwanza kaanza ishu ni kumtia moyo na sio kumbeza.nchi hii ina tatizo kubwa la ajira na linatokana na kila mtu kutaka kuajiriwa kwahiyo ikitokea mtu anaanzisha kitu kama radio ni kumpongeza sababu ndio itamnufaisha yeye binafsi hatahivyo itasaidia kupumguza unemployment.
 
Mimi binafsi najua misimamo ya Magenge a.k.a maujanja supplier kitambo.....wale walikuwa radhi kula hata pumba lakini si kunyanyua mikono kwa Ruge lakini mwisho wamesanda......JIDE inawezekana akasanda maana kimsimamo hawafikii magenge ya mwenge hata chembe ingawa kusanda kwake ndio itamuua kabisa kisanaa maana kwa sasa anaishi kwa huruma za mashabiki wanaoamini anaonewa......

Nyimbo ya Yahya imetamba bila hata kuanza kupigwa radioni.....imeanza kutamba kwenye mabaa na mitaani....sioni alipofikia anahitaji kiki ya mtu zaidi ya juhudi zake binafsi........
Man, you're smart ndo maana umeliona hili... wengi humu wanasukumwa na ushabiki pamoja na shouting... kimsingi, tunapozungumzia sanaa, hivi sasa anatembelea nyota ya public sympathy... kama ulivyosema, kuna watu wanaamini ameonewa lakini kuna lingine la itikadi. Kati y Block kubwa mbili za kisiasa, kuna moja inawaona Clouds ni shenzi taipu mafedhuli wasiofaa kwa A wala Be! Sasa ukiwa na mafumangamano na Clouds, hii block inakuona wewe na Clouds ni wale wale tu... lakini ukiwa adui na Clouds, inafuata dhana ya adui wa adui ni rafiki!
 
Yeye ndio kwanza kaanza ishu ni kumtia moyo na sio kumbeza.nchi hii ina tatizo kubwa la ajira na linatokana na kila mtu kutaka kuajiriwa kwahiyo ikitokea mtu anaanzisha kitu kama radio ni kumpongeza sababu ndio itamnufaisha yeye binafsi hatahivyo itasaidia kupumguza unemployment.
Kumwambia kuanzisha radio station sio kazi kazi ni kuifanya ikamate watu ni kubeza au kutoa changamoto?
 
Kwakweli nilikuwa mshabiki wa Jide lakini nimekaa pembeni kidogo sababu nimegundua ni mtu anayependa kunyenyekewa na kiburi pia , msanii kuwa na maugomvi na watu si vizuri sababu inakushusha kisanii.
Naliona anguko la Jide muda si mrefu

Utaanguka wewe, mwenzio ana vitega uchumi vinavyoeleweka, hata asipoimba mwaka mzima uhakika wa kuishi anao , sio hao wengine, Jide ni namba nyingine wewee
 
Man, you're smart ndo maana umeliona hili... wengi humu wanasukumwa na ushabiki pamoja na shouting... kimsingi, tunapozungumzia sanaa, hivi sasa anatembelea nyota ya public sympathy... kama ulivyosema, kuna watu wanaamini ameonewa lakini kuna lingine la itikadi. Kati y Block kubwa mbili za kisiasa, kuna moja inawaona Clouds ni shenzi taipu mafedhuli wasiofaa kwa A wala Be! Sasa ukiwa na mafumangamano na Clouds, hii block inakuona wewe na Clouds ni wale wale tu... lakini ukiwa adui na Clouds, inafuata dhana ya adui wa adui ni rafiki!

We unadhan jide anababaishwa na nini?? Kama uhakika wa maisha anao ata asipoimba mwaka mzima, bado ataingiza pesa kila wiki pale nyumbani lounge, bado ana vitega uchumi kibao , kama kufulia kimuziki kafulia kitambo na sasa ivi anaishi kwa nguvu za pesa yake mwenyewe, maana hata nyimbo zake izi mbili za mwisho hazijafanya poa ila bado mwenzenu life linasonga mbele, inshort achaneni na jide, yule kashashindikana ndugu zangu, mtajisumbua bure yule maisha kashayapatia kitambo
 
We unadhan jide anababaishwa na nini?? Kama uhakika wa maisha anao ata asipoimba mwaka mzima, bado ataingiza pesa kila wiki pale nyumbani lounge, bado ana vitega uchumi kibao , kama kufulia kimuziki kafulia kitambo na sasa ivi anaishi kwa nguvu za pesa yake mwenyewe, maana hata nyimbo zake izi mbili za mwisho hazijafanya poa ila bado mwenzenu life linasonga mbele, inshort achaneni na jide, yule kashashindikana ndugu zangu, mtajisumbua bure yule maisha kashayapatia kitambo

We naona unachanganya mambo tunaongelea anguko la kimuziki/sio biashara ya mgahawa/home lounge. Inamaana atapotea kimuziki halafu watoto wa mjini mawingu wakishamaliya kimuziki wanaamia kwenye mgahawa we subiri zile no nyingine.
Time will tell.
 
We naona unachanganya mambo tunaongelea anguko la kimuziki/sio biashara ya mgahawa/home lounge. Inamaana atapotea kimuziki halafu watoto wa mjini mawingu wakishamaliya kimuziki wanaamia kwenye mgahawa we subiri zile no nyingine.
Time will tell.

Jide hajawahi kuanguka kimuziki, kwa taarifa yako tu, toka aanze muzik mwaka 2000 hadi leo mwaka 2014 , tuzo ya mwanamuziki bora wa kike bado inashikiliwa na jide, kama akili zako ziko sawa utakubaliana na mimi kuwa jide hajafulia sio tu kimuziki hata kimaisha anawaburuza sana, inshort JIDE alikuwepo, yupo na atazidi kuwepo, so mtasubir sana kwa jide
 
Jide hajawahi kuanguka kimuziki, kwa taarifa yako tu, toka aanze muzik mwaka 2000 hadi leo mwaka 2014 , tuzo ya mwanamuziki bora wa kike bado inashikiliwa na jide, kama akili zako ziko sawa utakubaliana na mimi kuwa jide hajafulia sio tu kimuziki hata kimaisha anawaburuza sana, inshort JIDE alikuwepo, yupo na atazidi kuwepo, so mtasubir sana kwa jide

mungu mlinde jide
 
mungu mlinde jide

Nashangaa watu wanasema kafulia, sasa ray c sijui watasema kafanyaje, yan wabongo wachawi sana, dada wa watu kaanzia mbali mpaka sasa ivi yupo juu ila watu hawaoni mchango wake, sijui wanasubir afe ndo waone mazuri yake
 
Nashangaa watu wanasema kafulia, sasa ray c sijui watasema kafanyaje, yan wabongo wachawi sana, dada wa watu kaanzia mbali mpaka sasa ivi yupo juu ila watu hawaoni mchango wake, sijui wanasubir afe ndo waone mazuri yake

Wabongo utawaweza?!!!!!
 
Cloudz FM ndio kila kitu hapa mjini ila tatizo watu wamefumbia macho ukweli huu.
 
Tatizo lenu wahaya mnapenda sifa za kijinga hii habari imekaa kiumbea zaidi kwani ungeandika wameombana msamaha usingeleweka? Kwa akili yako unadhani mafanikio ya mziki hadi msanii apite kw Ruge

Teh teh teh teh


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom