Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Mimi binafsi najua misimamo ya Magenge a.k.a maujanja supplier kitambo.....wale walikuwa radhi kula hata pumba lakini si kunyanyua mikono kwa Ruge lakini mwisho wamesanda......JIDE inawezekana akasanda maana kimsimamo hawafikii magenge ya mwenge hata chembe ingawa kusanda kwake ndio itamuua kabisa kisanaa maana kwa sasa anaishi kwa huruma za mashabiki wanaoamini anaonewa......

Nyimbo ya Yahya imetamba bila hata kuanza kupigwa radioni.....imeanza kutamba kwenye mabaa na mitaani....sioni alipofikia anahitaji kiki ya mtu zaidi ya juhudi zake binafsi........
 
Kupitia ukurasa wake facebook Jaydee amesema
;" Nakanusha tena na tena, hii habari ni ya uongo na sijui walio
andika wana nia gani. Hiki kitu hakiwezi kuja kutokea. ..naweza
kupiga magoti mbele za Mungu na mama yangu mzazi tu.""

10494766_773785565985575_313148355378116145_n.jpg
 
Ila wasamehane kwasababu sisi binadamu unaweza ruka ruka wee one day ukapatwa na maswahiba pande zote mbili ukajikuta unaongea mbele ya makamera kama sio flani ningekuwa nimekufa.Kwa mimi they need to talk.
 
" Neno la Mungu Linasema Tusameheane 7x70 ? sasa sijui wenzetu hamna habari hiyo na kwa Taarifa yenu nyie wote hata mkifa mtakuwa On hold hamfunguliwi Mlango ngo " Yaani mtasubiriana ili Muingie wote , acheni sifa za kijinga na Msameheane !
 
Mi con faida yoyote ya kuto kupatana hv huyu dada analingia nn chuki haijeng hii Dunia tunapta shaul zenu shabikien ushetwan
 
Waandishi Makanjanja wanakuja JF na kuja kuchukua tetesi za warumi wanaweka front peji.
»Sugu kamaliza bifu na ruge kwa7bu ruge aliipeleka issue kwa uongozi wa bunge hivyo sugu akaitwa na chama chake akashauriwa amalize beef na ruge sasa we ulitaka apingane na viongozi wake? Anaconda komandoo hawezi kubali kumpigia magoti nshomile.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ningependa kuona Jide ana achana na huu utoto wa kuendeleza ugovi usio na faida yoyote! Hakuna anayetaka wapigiane magoti bali wengi tunapenda kuona wakimaliza tofAuti zao kama binadamu!
 
Mtazamo sie kihivyo.Clouds imeuzwa mda mrefu sana kwa Lowasa na Manji.hivyo hawana nguvu hawo akina Ruge na mwenzie.Na isitoshe Jide kesha fungua Radio Station yake.
 
Mtazamo sie kihivyo.Clouds imeuzwa mda mrefu sana kwa Lowasa na Manji.hivyo hawana nguvu hawo akina Ruge na mwenzie.Na isitoshe Jide kesha fungua Radio Station yake.

Jide hana radio station.Usitake kupotosha umma.
 
Back
Top Bottom